makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,852
- 103,974
Hawawezi buanaHapawote watagombea
![]()
![]()
![]()
....

Shemeji leo umetishaGood night
Morata ni mkali ila uzoefu wa ligi ndo kikwazo. Na hiyo ni kawaida kwa wachezaji wa kigeni ...Ikifika Januari tutaona nani jembe kati ya Lukaku na Hammorata
![]()
![]()
![]()
.....
Tabora sehem gani mkuu!?Nipo Tabora huku....
Hatutaki visingizio !!Morata ni mkali ila uzoefu wa ligi ndo kikwazo. Na hiyo ni kawaida kwa wachezaji wa kigeni ...
Ila likuku sory likaku aaagh lukaku uzoefu wa ligi unambeba. ..lakin morata ni machine ilee![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Awe makini aisee,Lukaku yupo vizuri
Rashford bado ana gonjwa sugu la kukosa magoli
Ila leo Rashford kajitahidi
....
We mbona kufumbata ya wenzio tuu..lushoto ya kuchorwa mtu yupo mbezi katekwa
Kizabizabina..lushoto ya kuchorwa mtu yupo mbezi katekwa
Shemeji mpuuzie, utapata madonda ya tumbo bure..Dawa yko makaveli ww ngoja aje
We jishaue tuu.. nyama weeh!!Makaveli ndio naniiii
Samtaimu mtu ushanyanyuka kushangilia halafu unashangaa Rasheed anakosa goli kindezi kabisaAwe makini aisee,
Teh teh teh.. hamna nilitingwa tuu..Ni poa maka za wewe naona ndio umeamka
Namjua huyu anauza samaki wa kukaanga pale Feri
![]()
![]()
![]()
.....
SawaKambi ya jeshi, huku karibu na muhas
Maka unaongea na mimi shunii au unaongea na simuWe mbona kufumbata ya wenzio tuu..
Hata wachawi walianza na roho mbaya kama yako, angalia mwishowe usije ukaanza kupaa angani kabisa..
![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.

Shemeji mpuuzie, utapata madonda ya tumbo bure..
Tycoon MAKAVELI Jr.






Wallah simjui mie ndio naniiiWe jishaue tuu.. nyama weeh!!
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.