Makapuku Forum

Makapuku Forum

BBC swahili...

Asanteni [emoji41][emoji41][emoji41]

9b272f20ef5e61c95f0e65e5565d982e.jpg


ae4d47666ec85fb8e255867837dabb18.jpg
 
Naandaa tu shemeji maana najua mwakani naweza nikaachana na kilimo nikahamia kwenye shughuli zingine
Kilimo ni kizuri sana kama soko ni zuri, tatizo ni soko,

Bahati mbaya na serikali yetu inaimba viwanda tu

Kilimo imekitupilia mbali, sijui kama viwanda vitajengwa,sababu mzalishaji mkuu wa malighafi ya viwandani hajapewa kipaombele
 
Back
Top Bottom