Makapuku Forum

Makapuku Forum

BBC swahili...

Asanteni

9b272f20ef5e61c95f0e65e5565d982e.jpg


ae4d47666ec85fb8e255867837dabb18.jpg
 
Naandaa tu shemeji maana najua mwakani naweza nikaachana na kilimo nikahamia kwenye shughuli zingine
Kilimo ni kizuri sana kama soko ni zuri, tatizo ni soko,

Bahati mbaya na serikali yetu inaimba viwanda tu

Kilimo imekitupilia mbali, sijui kama viwanda vitajengwa,sababu mzalishaji mkuu wa malighafi ya viwandani hajapewa kipaombele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom