Makapuku Forum

10/Doc Watson Alizaliwa mwaka 1923 na kufariki dunia 2012 akiwa na umri wa miaka 89
Huyu alikuwa ni msanii wa muziki licha ya kuwa kipofu(sijui hili neno ni tusi)
Alikuwa ni mwimbaji na mpiga gitaa mahiri
Wazaziwake wamechangia mafanikio yake maana hawakumtenga wala kumficha
Kaimba ngoma kibao kama vile
Sitting On Top Of The World
Deep River Blues
Shady Grove
Doc's Guitar

N.k
.......
 
10k kwa 100g
Matumizi yake ni kuweka kwenye maji, juice au smoothie (vimiminika) sio lazima usage ukiweka tu kwenye maji baada ya dakika 5 zinachange na kuwa na weupe! Hapo sasa ndio unakunywa, unaweza kutafuna au kumeza tu bila kutafuna
Sawa nashkuru, mteja analetewa mpaka mahali alipo ama!?

sent using my nokia ya tochi
 
Halafu akanizodoa huyo wakati nilijibu sahihi kabisa

Madame S
Nisamehe bure bibie, wala sikuitizma ile pic, tangazo la chia seeds nilikuwa nimeliona siku za nyuma so najua faida.. kwahyo nilipoliona pale nikaulizia bila kufungua,

Mimi ndio nilikuwa wrong, nawe ulikuwa sahih..

sent using my nokia ya tochi
 
Shukuran bibie

sent using my nokia ya tochi
 
9/Diane Schuur
Alizaliwa Disemba 10 mnamo mwaka 1953
Huyu ni kipofu mwingine mjanjamjanja ambaye anakimbiza tu kwenye muziki wa Jazz yaani huyu kwa wasioona ndiye Madonna wao
Siyo tu anafanya muziki kutafuta sifa bali anaingiza mpunga wa maana kupitia sanaa
Huyu amenyanyapaliwa sehemu kibao ila akakomaa nao na kuwadhihirishia kwamba kukosa macho/kuona sio kukosa akili na kipaji
Kapiga ngoma kibao kama vile
Louisiana Sunday Afternoon
Deedle's Blues
Easy To Love
TheMan Ilove

Ana album 23 na zinskimbiza tu sokoni na kuongiza mpunga The Man I Love
.....
 
....sure, hajakuelewa hata kidogo! Love affair ni kitu cha moyo na sexual affair ni hisia zaidi , ukikosa cha pili huumii maana unaweza kuipata popote ila ya kwanza ikichezewa basi si ajabu ukaona mtu anachukua maamuzi utakayoyaita ya kijinga
100% nyie hamjanielewa.. nilikuwa mazungumzia mapenz hasa na si ngono..

sent using my nokia ya tochi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…