Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sh ngap hii, n matumiz yake ni yapi.. nahisi itamfaa bimkubwa wangu
10k kwa 100g
Matumizi yake ni kuweka kwenye maji, juice au smoothie (vimiminika) sio lazima usage ukiweka tu kwenye maji baada ya dakika 5 zinachange na kuwa na weupe! Hapo sasa ndio unakunywa, unaweza kutafuna au kumeza tu bila kutafuna
 
fd27d4c49935635e699b76ecceb01505.jpg
e2d8bb3cb4019c7c06904ac877b982a4.jpg
a411fea00e6263edc77f04bc7f4a623f.jpg
Huyu babu anasifika kwa kupenda dogodogo
Pata burudani kidogo
......

Dah!!!
 
VITA YA MAREKANI NA VIETNAM.

Sehemu ya 01:

Written by STILL B Dapeople.

Miongoni mwa vita isiyosahaulika kwa taifa la marekani ni vita kati yao na Vietnam iliyoanza mnamo mwaka 1955.

Vita maarufu ya Vietnam ni moja ya vita ktk historia ya marekani ambayo taifa kubwa na lenye nguvu Duniani lililazimika kuondoka uwanja Wa mapambano baada ya kushindwa vibaya. Mbio nyingi.......

Ilikuaje???????????.

Vita hii ilipiganwa kuanzia mwaka 1955 mpaka 1975, ilipiganwa maeneo ya Vietnam kwenyewe maana marekani hawana kasumba ya kupigania kwao.
Wao wakishalianzisha wanakufata wanahalibu kwako kwao RAIA wanakula bata.

Vita hiyo iliyowatoa jasho na kuambulia wahenga waliobaki na ulemavu aidha kupoteza siraha nyingi ilipiganwa maeneo ya loss, Vietnam na Cambodia.

Kw juu juu ilikua vita iliyopiganwa kati ya Vietnam kaskazini na Vietnam kusini.
Lkn nyuma ya pazia ilikua ni vita ya kijasusi kati ya wababe wa dunia Wa wakati huo. Yaani MAREKANI na URUSI ya kisovieti( proxy war) huku kila mbabe akitaka kupandikiza itikadi yake kwa upande huo.

Marekani alitaka UBEPARI utawale na Mrusi alitaka UKOMONISTI utawale. hapo chacha kimakonde tunaitaga chamaki ntu na ntu vitani.

Vietnam ya kaskazin ilisapotiwa na urusi ya wakati huo (USSR), China na nchi nyingine za kikomonisti. Huku Vietnam ya kusini ikisapitiwa na marekani, Korea kusinna Australia, Thailand na nchi nyingine zilizokua zikiponga ukomunist.

Wakati vuguvugu la vita limeanza kukolea mwaka 1950 marekani alituma kikosi cha majasusi wake chini Vietnam wakati huo ikiwa koloni la mfaransa ikijulikana km French indochina kw ajili ya mafunzo , udukuzi, na kukusanya taarifa za kijasusi kwa askari wa Vietnam ya kusini na kuviandaa vikosi vyake kw ajili ya mipango ya kukata na shoka.

Ilipofika mwaka 1961, wakati vita imekolea, marekani kw kutumia taarifa za kijasusi ilizokusanya ilipeleka kikosi maalum cha makomandoo wa jeshi la anga maarufu km Green Berets kw kazi kuu ya kufanya operations za kimyakimya za anga ili kulidhoofisha jeshi la Vietnam kaskazin.

Kikosi hiki kiliungana baadae na kikosi cha makomando wa anga waliojulikana km ECO 31 na US marines.

Hata hivyo kutokana na udhaifu wa taarifa za kijasusi vikosi hivi havikufanikiwa sana hali iliyopelekea kuvunjwa na kuundwa kikosi maalum kingine mwaka 1962, kilichoitwa U.S military Assistance command , Vietnam (MACV) kilichokua chini ya idara ya Usalama ya marekani .

..ITAENDELEA.........

ikumbukwe story hii imepatikana ktk vitabu vya stories zilizowahi kuikumba dunia hiii.
 
VITA YA MAREKANI NA VIETNAM:

SEHEMU YA 02:

Pamoja na uwezo mkubwa wa marekani kimafunzo na kisiraha lkn kulikua na udhaifu mkubwa wa idara za kijasusi,

Kutoka marekani na washirika wake mwanzoni kabisa mwa vuguvugu la kivita walikua wavitietnam ya kaskazin.
Kifupi vikosi vya marekani viliwapa mafunzo ya kivita adui zao na wakauziwa interlijensi ya uongo.

Basi vikosi vyote walivyounda ikiwa ni pamoja na lile shirika la kijasusi lenye nguvu kubwa na lenye kubobea ktk tasnia ya kijasusi lenye mafunzo ya kijasusi kutoka KGB na China vilishindwa kufua dafu. Shilika hili na lingine lililojulikana Viet Cong security serves ( VCSS) Nacho hakikufanikiwa sn mwanzoni maana taarifa walizokua wakipewa waliambiwa Kua VCSS walikua kikosi maalum tu cha wapambanaji walio na siraha dhaifu na si majasusi.


Hapo inamaana kwamba kikosi cha VCSS kilikua na majasusi wa kivyetinam ambao walipewa mafunzo na marekani. kwampango huo walipokua vitani wavyetinam wakafanya uzalendo kw inchi yao. Wakawageuka wa marekani na hao ndio walikua wakiwazubaisha makomandoo wa kimarekani na kushadadia taarifa za uongo kutumwa makao makuu ya kijeshi marekani.

VCSS walikua wababe wa mapigano msituni na guilera war huku wakiwa na maajent wengi zaidi ya 100, 000.
Walikua mabingwa wa vita vya kuviziana km ilivyo kw sasa kibiti pwani.

Askari wachache walikua wakijificha na kufanya ambush za kijeshi dhidi ya askari wa adui zao. Wakati mwingine walivaa nguo za kiraia na kuingia mtaani na kuishi maisha ya kawaida kabisa huku wakipanga mikakati yao ya mashambulizi ya kuviziana.

. Hakuna vita mbaya km ya kuviziana maana humjui adui ni nani na RAIA ni nani na huruhusiwi kuua RAIA. Ilikua ni ngumu sn na iliwapa hali ngumu sana askari wa marekani.

Ripoti za siri za kijasusi zilisema C.I.A kw kutumia mbinu za kijasusi waliandaa exit strategy ambayo ilikua ni kuhamasisha maandamano na propaganda ya kile kilichoitwa vuguvugu la wanchi wa marekani kupinga nchi yao kujiingiza ktk vita ya Vietnam. kumbuka wamarekani walikua wakigeukwa na wavyetinam waliowafundisha mbinu za kivita wenyewe. Na hao ndio walio anzisha mpango huo feki ili kuwazobanisha wa marekani wao kw wao. hapo sasa marekani wakaisoma namba. vita vikapamba moto nao wakajifanya hawataki kushisndwa weeeee.....

ITAENDELEAAAA.....
 
VITA YA MAREKANI NA VIETNAM:

Sehemu ya 03:

Vietnam kw kusaidiwa na majasusi wa Russia iliwauzia taarifa feki marekani. Hivyo marekani ikaingia mkenge kw kuwadharau wavyetinam kaskazini katika ulingo Wa vita.

Taarifa hizo feki zilipofika Washington zilifanya marekani kutuma vikosi vichache ktk ulingo Wa vita hali iliyowafanya wafe km njugu. Majasusi Wa marekani walishindwa kujua information ya vita ya Vietnam maana walikua vigeugeu km wanasiasa.

Mfano kamanda Wa kivyetinam alieongoza vita Leo sie alieongoza kesho yake na walioingia vitani Leo sio watakaoingia kesho. Walifanya sub km mpirani na pia kila kamanda alieongoza vita alikuja na mbinu yake ikawa ngumu kuwasoma.

Jambo jingine lililowatia jambajamba wamarekani ni swala la mitego na mahandaki na mitego, wakambody na wavyrtinam kw mitego walikua hawajambo. Pia walikua na kambi za chini ya aridhi nyingi kuliko za juu. pia njia za mahandaki zilitumika kuwapoteza wamarekani hali iliyowafanya wapambane na hali yao.

Wavyetinam wakiwa chini ya majasusi wao Wa kirusi Wa VCSS waliweza kuunda vikosi vinne vya kazi. Vikosi hivyo vilipambana kwa wakati mmoja ila kwa mbinu tofauti, ukikimbilia kulia unakutana na mabom utaenda kushoto unakuta mitego, ukigeuka nyuma unakutana na mahandaki mbele ni mapambano ya ana kwa ana. Hapo utakimbia bom na kujalibu kupambana USO kwa USO ila ukikaribia adui yako anazama ndani ya handaki wanainuka wanaotumia bunduki hapo inakubidi ufe tuu hakuna namna.

Wamarekani wakachanganyikiwa kabisa na kupoteza mwelekeo Wa vita maana wavyetinam walikua hawasomeki.
Hakuna kitu kinauma roho km kupambana na MTU km kinyonga..

Hapo sasa wamarekani wakapanga mbinu Mpya . kuwakusanya raia Wa kambodia na wakulima Wa mashamba yaliyomilikiwa na wao. pia walikusanya raia Wa vyetinam ili kuwaweka pamoja na iwe rahisi kupambana na majeshi ya vyetinam. lakini wavyetinam hawakua matahira mpaka hapo walijua hilo laweza kutokea kabla ya mambo kupamba moto.

Walichokifanya ni kufundisha raia wote mgambo na mapambano ya siraha na mitego. kwahiyo wamarekani mpaka wanafikia kukusanya raia na kuwaweka pamoja walikua wamechelewa.

Hali hiyo ya kukusanya wakulima wadogo wadogo na kuwakusanya ktk milki yao kulizua tatizo kwao kitu ambacho walikurupuka. Swala hilo lilizaa tatizo lingine. kipindi wanakusanya wale raia na wakulima wadogo wadogo walikusanya na maajenti Wa VCSS wakijifanya raia. walijichanganya na wakapelekwa maeneo yaliyokua hayana vita .

Hapo ndipo walipokufa mmoja mmoja na kusomewa ramani na maajenti waliojifanya raia. Mashambulizi ya kuviziwa yakawahusu na Siku hadi siku wakatumbuliwa .

Patroo zao zikawa zinavamiwa Mara kwa Mara mpaka wakachanganyikiwa.
Walipokonywa siraha kila SAA. Kuendelea kukaa na wale waliowaita raia ndiko kulikowapunguza.

Hapo wamarekani wakaishiwa molali ya vita maana kila siku walikufa. Maji yalipofika shingoni ikabidi maaskari Wa kimarekani waandae ndege standby kw ajili ya kutoa msaada muda wowote utakapohitajika. Pia ilikua kuandaa ndege maalumu za mapambano ili wakivamiwa watumie ndege kushambulia.

Lakini kila makamanda Wa kimarekani walipoongoza patro za ndani ndani ya msitu waligoma. Maana kila walipoingia ktkt ya msitu wakati mwingine waliludi wawili au kurudi mmoja tena kapalalizi akili au kiungo. Dozi ya msituni haikua ya mchezomchezo yaani km kibitiiii.....

Maajenti Wa VCSS takribani 100,000 walipenyezwa msituni na kuwafanyia wamarekani mashambulizi ya kushtukiza. Hapo ndo unaweza kusikia mwanajeshi kajinyonga kuliko kwenda vitani. Marekani jasho likawatoka.

Ripoti ikavuja Kua askari wa marekani wanaouawa vitani ni zaidi ya asilimia 20% kila siku huku wavyetinam wakiwa hawaishi hata uuue mpaka uchanganyikiwe. Unapiga risasi mpaka zinaisha wanakuja tuu hapo inabidi kukimbia.

Raia waliingia mzigoni hali iliyofanya wavyetinam kuonekana km njugu hawaishi piga upigavyo wanakuja km wamasai waliopandisha mori ngo'mbe wanapoibiwa. ripoti ya kupungua zaidi kw askari wa kimarekani ilipovuja ikawapa nguvu wavyetinam sasa wakawa nyuki msitu mzima.

Hakuna kula, kulala, kupakua wala kupumzika. kazi kazi wakasepa na kambi zote za kimarekani. Chinja , tia moto wachokozi wakubwa. Kuteswa na kuuawa ktk inchi yako haipendezi. So poa kabisa mtu akutambie kwako shenzi kabisaa nyumbu piga UA.....

Itaendelea............
 
VITA YA MAREKANI NA VIETNAM:

Sehemu ya 04:

Tulipoishia ndipo tunapoanzia......
lazima ukubali mganga haagizi mlenda unapambana na hali yako hakuna namna.

Basi mkongo'to walioutoa wavyetinam so poa yaani kipigo cha mbwa mwizi wamarekani kikawahusu kila siku.

Kutokana na usiri mkubwa na umakini wa hali ya juu wa VCSS, ilikua ni ngumu kw wamarekani kupata ufumbuzi kutoka vyanzo vya kuaminika vya intelijensia ya mfumo wa vita ya wavyetinam.

Wakaanzisha mfumo wa kupata taarifa za kivita kwa kukusanya mateka na askari ambao sio wale waliokua wamebobea kivita. Yaani undercover urgent haikuwa rahisi kuwakamata. Wengi wa mateka waliowakamata walikua ni askari wenye vyeo vya chini au raia waliojitolea kupambana.

Mafunzo ya raia waliotekwa yalikua ya muda mfupi tuu. pia wengi walikua na taarifa za kupikwa sio rasmi. Walipewa makusudi kw lengo la kupotosha iwapo wangekamatwa.

Mbinu nyingine iliyowaacha midomo wazi wamarekani ni ile ya hit-and runi technical. Hii waliitumia kwasababu MAREKANI walijidalia sn jeshi la anga.

Kuwakomoa wavyetinam huku wakifaham wamarekani wanavikosi maalumu vya kupambana na siraha nzito walizobeba kwenye magari, wao wakachimba mahandaki njiani na mashimo kuzuia magari ya siraha na mizinga kupitia njiani na pia wakajificha misituni wakiwavizia.

Wali block njia za kupitishia siraha ambazo wamarekani walizitumia . wavyetinam waliangusha miti mikubwa kabla ya kufanya ambushi, walitengeneza kambi feki za kijeshi msituni na kila mbinu ya guilera war inayofahamika ktk uwanja wa vita ilikua kuviziana.

Mfano askari wa kivyetinam walivizia kambi za adui zao na kufanya ambushi ndani ya SAA moja na kila askari alitimkia njia yake. Hapo ilikua ngumu kuwafatilia maana walitawanjika km wanafunzi wanaporuhusiwa. Kila mmoja kwenda kwao kwa njia yake na ukimfata mbele ataingia ndani ya handaki. Ukijipendekeza huku ww ni wakufa tuu.

Mitaa yote ya msitu waliijua wavyetinam maana ndiko kwao nani anapotea nyumbani jamani?. Walipokutana pia walikua mmoja mmoja hivyo ilikua ngumu kujua kambi kuu ilipo.
Wavyetinam baadhi walipozidiwa walivua nguo za kivita na kuvaa za kiraia kisha walijichanganya uraiani.

Kambi nyingi za kivyetinam hazikua zile zilizoonekana kw macho. Nyingi zilikua kuwa district wamarekani wakalipua makombola yao ovyo hovyo na kupunguza siraha nzitonzito wakizani wanalipua kambi zenye watu kumbe wanalipua miti tuu na vibanda vilivyokua vitupu. Km bosheni kuwamalizia siraha.

Inaendelea......... Vuta pumzi umeze mate kwanza kisha endelea..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom