Makapuku Forum

Makapuku Forum

Me hata hizo mbaazi siziwezi jaman na njegere mpaka auntie yangu huwa ananiambia na mapepo niende kanisani nikaombewe namjibu sawa auntie nina mapepo
mbaazi njegere natumia zipikwe vyovyote vile kizaazaa kipo kwenye maharage ya sukari na hizo kunde ziwe za sukari niko radhi nishinde njaa siziwezi kabisa

Madame S
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom