Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mganga?? Simfahamu mama kafanyaje

Madame S
g'wizukulu jilala matunge au Dr limbe


Aliishi mbagala zakhem but ofisi yake ilikuwa mbagala kizuiani

Alimuoaga msanii Nuru nasor(Nora) wakazaa mtoto mmoja Wa kiume kisha wakaachana

Baadae Dr limbe akaaga dunia kwa ajali ya gari iliyotokea huko Angola

Ila mi nililipenda hili jina lake tu(ng'wizukulu jilala matunge) baasi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom