Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Cc husnaShunie naomba nitumie picha hapa ya zile shanga aisee yote yako nimuonyeshe wifi yako akizipenda nimnunulie
Cc husnaShunie naomba nitumie picha hapa ya zile shanga aisee yote yako nimuonyeshe wifi yako akizipenda nimnunulie
Kwani nani kakwambia anatakaSitaki jamani
Madame S
Me nilikwambia nauza shanga au nilishawahi kuweka tangazo la kufanya hizo biashara

Nna kila kitu, we kwan unataka nn??hivi una nini lakini wewe
Madame S
Nambie mke mweeeMama jj huyoo
Hbr yko TOooh! Shukuru Mungu..
Ndio ushukuru Mungu hata kuna mwanaume anakuangalia kwa macho 100..Hua ninashukuru Mungu kwa kila jambo
Madame S
Iko poaNimeipenda hio post sijui wewe kapungu mwenzangu vp?
About what?! Nisha4getNipe uzoefu wako
Wee mwanamke ukishupalia kitu, ndio maana bitoz akakishindwa kah.. mbish kama ngoz ya tako..

Good![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ntingi sana
Hukopiakapiga pesa ndefu
Ipo siku nitawaelezea wacheza mieleka 10 wenye mpunga wa kueleweka
........

Na guberi pia natumiaBangi hazijawah kukuacha salama husna