Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Mbona umefurahi mjukuu wangu?
Babu huo ugonjwa wa mapenzi achana nao kila mtu anaugulia kivyake moyoni mtu atajifanya jasiri nini lakini moyo ni kichaka anajua anavyoumia kuhusu mapenzi acha tu niyaamkie shikamoo mapenziHaswaaaa

Anakijua mpigwajiKipigo gani tena hiko jaman
Bibi pumu ee...akapumulie chooni na nzi amwingie mdomoniBibi tafaa eehh.. mimi nmekusingizia nin??
Mtapigana mjuenyama mwenyewe
Madame S
Wee mwanamke ukishupalia kitu, ndio maana bitoz akakishindwa kah.. mbish kama ngoz ya tako..![]()
![]()
Singekuwa mpendwa wangu obe kujipitisha pitjisha Jana ungegongwa wewe haki ya nani tena
Pia amewahi kucheza movie
Juice je..Nimeshapata shem asante mwaya
Duuuu
Bangi hazijawah kukuacha salama husna![]()
![]()
miandiko yao inafanana et!
Jamani jamaniWe jishaue tu, njia ya kwendea kwako si unapita kwangu, utakiona cha mtema kuni, nyama wee

Wewe mtotongwa wa Obe.... Una bahati fulani inakunyemelea.... Mume wa kwanza alikuwa Mchawi ukamwacha.. Huyu naye anapenda kwenda kwa waganga... Sijui itakuwaje
Yaishe, mwiz wa kwanza kuchomwa moto manzese huko..
ndio alikuwa akiitwa "yaishe"?!
Umri wangu mkubwa, ila katika vtu ambavyo nmewah kuapa havitakuja kuntingisha moyo ni mapenz.. nshakutana na vingi ila ukijua jinsi ya kuviface mambo madogo ukiweza kukuntroo mamlaka ya ubongo ndio kabsa..Ha ha ha ha ha ha ha ha ha.... Kama wewe bado utakuwa na umri mdogo sana.
Eewaaa ukiona hutongozwi we ni nungayembeSifa ya mwanamke ni kutongozwa..