Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
Yani weweKwani nani kakwambia anataka![]()
![]()
sent using my nokia ya tochi



sawa bwanaMadame S
Yani weweKwani nani kakwambia anataka![]()
![]()
sent using my nokia ya tochi



sawa bwana
Sina ninachotaka kutoka kwakoNna kila kitu, we kwan unataka nn??![]()
![]()
![]()
![]()
sent using my nokia ya tochi
Itakuwa poa tu babu uskonde walaWewe mtotongwa wa Obe.... Una bahati fulani inakunyemelea.... Mume wa kwanza alikuwa Mchawi ukamwacha.. Huyu naye anapenda kwenda kwa waganga... Sijui itakuwaje
Moja lako moja la mkeo wenzio wafa weww wangojani?Maini sh sabini..
sent using my nokia ya tochi
MhhhhhNdio ushukuru Mungu hata kuna mwanaume anakuangalia kwa macho 100..
Sio bure
Mwenzetu labda umesalitiwa na ng'ombe
![]()
![]()
![]()
....
ugomvi huooo
Guberi si nguo mfano wa parachute husna??? Ni guberi au kuberi?Na guberi pia natumia
Umri wangu mkubwa, ila katika vtu ambavyo nmewah kuapa havitakuja kuntingisha moyo ni mapenz.. nshakutana na vingi ila ukijua jinsi ya kuviface mambo madogo ukiweza kukuntroo mamlaka ya ubongo ndio kabsa..
Sasa mtu akatomb....e huko halaf roho ikuume kwan umet....mbwa wewe.. unadharau una take it easy maisha yanasogea

Na mipasho ya kizaramoHahaaa... dar kitambo kweli kweli..

Nani bitoz.. we jiangalie wewe, mie mtoto wa kigamboni ukanifananishe na nyangema wa matopeni![]()
![]()
swaga zenu zinamechiHiv mara yako ya mwisho kutongozwa afu ukalia ni lini...?Unanicheka eh
Madame S
Babu msamehe huyu dogo hajui alitendaloKama wewe bado umri wako utakuwa chini ya miaka 25
Kama nakuona mpendwa wa binamu

Itakuwa poa tu babu uskonde wala
Km VP mzuka tu mwororoooo
Pamoko mkameme



