Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni kweli kabisa maka kikubwa inabidi ujicontrol tu mwenyewe na hali yako au na maumivu yako kama unayo woiiiii mapenzi jamaan kwa nini lakini
THE POWER OF LOVE
Kuuma itauma ila inategemea na wewe unaruhusu maumiv yapenye kwa kiwango kipi.. ukiendekeza unaumia kweli unaweza hata kufa.

Hapa nimekuelewa sana maka kama mtu anakupenda sana na kukuthamini unaonyesha upendo ule ule ukiona humuelewi unaenda nae hivyo hivyo asante sanaaa
 
Kwa wapenzi wa simba sc
0eb58ff14fb286ca0e8ff3ded5168365.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom