Makapuku Forum

Makapuku Forum

249c7694080a6973584831bd559fe995.jpg


Cc shedede
 
TOP TEN
Sifa kuu za viumbe hai ni kujongea/kutembea,kutoa taka(kunya,kukpjoa.jasho), kuhisi(kwa ngozipua ).kupumua(kwa mapafu,ngozi+ kujamba) na kufa(hapa mwanadamu hataki kupasikia)
53f5122857d6cc7cb42268540b92fc66.jpg

Hawa ni mademu wasiiona(hawataki kuitwa vipofu) ila ukweli hautobadilika hawaoni kitu!!(ipo siku nitaleta kumi kubwa ya vipofu mashuhuri)

Sasa leo tuangalie wanyama kumi wasioona yaani kwao ni mbwembwe wa giza tu
Achana na popo maana usiku kwake ndo mchana
Karibuni
.......
Kujamba raha sana
 
Sorry mkuu ...hawa jamaa sio kwamba hawaoni kabisa ila wanasimple eyes at time ukisoma ancestors wao inaonekana kuna uwezekano walikuwa na compound eye ....japo kiujumla macho yao huwez kuyaona yamefunikwa na wanaona vizuri tu ...

Zipo experiments zilizofanywa na kubaini endapo macho yao yakiwa uncovered hawaoni kabisa ...
Sawa mdau
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom