Makapuku Forum

Makapuku Forum

c4239007dd96299873baf3d45b8706ae.jpg
35d2279c8156cc9ec6ee34ab063bea0c.jpg
ebdfbdf8aae70cd027ec39c1889e4747.jpg

Kachezea Inter zaidi ya mechi 700
Alikuwa nguzo ya Mourinho wakati Inter ikiitawala dunia
.....

a02ebe69134247df4769689ccf1f9c11.jpg
 
JIJUZE

Katika kisiwa cha De Queimada Grande kilichopo nchini Brazil, ndipo anakopatikana nyoka pekee mwenye sumu kali zaidi duniani, Golden Lancehead Viper. Wataalamu wanasema sumu ya nyoka huyo ina nguvu karibu mara tano ya wengine wanaoishi ardhini. Nyoka hawa hupata chakula chao kwa kuwala ndege wanaokwenda kisiwani hapo kufanya mapumziko. Serikali ya Brazili imepiga marufuku watu kutembelea kisiwa hicho, isipokuwa kwa kibali maalum.

East Africa Television.
dcda56d3f73ec90f0c64e1b81d5949ce.jpg
 
==BILLIONEA NAMBA MOJA DUNIANI Bill Gates AKIWA TANGA HAPO KATUA KIMYA KAFANYA YAKE

===YUPO KAWAIDA SANA,CHEKI MAVAZI HAYO SIMPLE KABISA.ANGEKUWA MBONGO HAPO MABAUNSA KAMA WATANO,MACHENI YA DHAHABU,MIKWARA YA UNAJUA UNAONGEA NA NANI?



CC MADENGE
a71a76be3099a6fd0edf54bc2e28fc03.jpg
 
Updates. ....

JOTO KALI IRAQ: Waziri mkuu wa Iraq, Haider al-Abadi leo, atoa likizo kwa wafanyakazi wa serikali, kufuatia joto kali lililofikia Sentigredi 50.

Mbali na Iraq, juma lililopita joto hilo limeshuhudiwa pia kwenye bara la Ulaya ambalo limesababisha watu kadhaa kupoteza maisha...
3803f87f094f45c19c363d663f3996d1.jpg
5ceac86b968d13b3f5391972392dbc3a.jpg
 
USHIRIKIANO: Rais Magufuli akutana na kufanya mazungumzo na tajiri namba moja duniani, Bill Gates alipomtembelea Ikulu, jijini Dar Es Salaam.

Bill Gates yuko nchini katika ziara ya kukagua miradi ambayo taasisi yake ya Bill and Melinda inasaidia ukiwemo wa kupambana na magonjwa yasiyopewa kipaumbele....
601b5c1ea0780cd8fc293e5b006bd3c7.jpg


320b69f1502014860edce3107e672fe9.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom