shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Nzuri mama D,za nyumbaniNaona leo ameachiwa baba jj za wewe
Nzuri mama D,za nyumbaniNaona leo ameachiwa baba jj za wewe
Hivi ninaweza kukuangusha Baba D jamaanMmmmmmmh utaniweza ??
nitajaribu bana nikikuangusha basi
Shemela wangu mie safi tu za weweShemela za jioni
Lee wangu kibonge shemela ujue sio GB1 kama huyo serengeti wa frolahHuyo ni Lee![]()
![]()
Kama nakuona hapo shemela wangu
Nini tena shemela wangu
Ila Baba D mbona mmefanana na huyo mbaba jamaanBinamu obe binamu wa faida amewamis sana ila soon atarejea mambo ya kutekwa ..nimekutana nae kajituliza baada ya kutulizwa. ..![]()

Namuweza bana shemela nini lakiniKumbe hakuwezi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Safi sana shemela wanguNzuri mama D,za nyumbani
Aisee3/Mexican Tetra Fish![]()
Kwa wavuvi wazembe wa ale Feri hii ndio habari njema kwao wapige makasia hadi Mexico wakajivulie kiulaini samaki aina hii maana hawaoni hata ndoano ni sawa na kumsukuma mlevi tu![]()
Siyo tu hawaoni bali hawana hata kajicho kamoja cha kuzugia
Ila wana uwezo mzuri wa kuogelea kwa kutumia water pressure
Pia ni wajanja wa kijificha kwenye mapango hivyo kuwasaka huko chini sio jambo dogo
.......
Nimevuta picha tu ya wakina jj shemela ukirudi wanavyompokea baba yaoNini tena shemela wangu
Nzuri, kesho nitakuwa kwenuShemela wangu mie safi tu za wewe
Nitakutumia bango la pale njia panda ya mraloShemela wangu mie safi tu za wewe
Kwetu wapi huko shemela jamanNzuri, kesho nitakuwa kwenu
Haya shemelaNamuweza bana shemela nini lakini
Jamaaan uniletee boha shemelaNitakutumia bango la pale njia panda ya mralo
Narudi mapema leo hii ili wanione, jana sikuwaona kabisaNimevuta picha tu ya wakina jj shemela ukirudi wanavyompokea baba yao
LushotoKwetu wapi huko shemela jaman