Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nikikumis sana tumosa

You know nimetoka USA jana nimeingia leo,

Sema pale US EMBASSY walinizingua passport.

Ila waliposikia narudi bongo wakasema "haina haja ya passport u're free to go"

I think wananiogopa...

post using my macbook air using jamiiforums app
jamaani I miss you too shemela pole na safari hope umetuletea zawadi
 
Ila mimi sio mmoja wao maana hizo ni tabia za kike kama kuna dume liko hivyo basi tunawaita wanaume kama mabinti au wanaume kama wanawake
Mdau maisha yamebadilika
Siku hizi wanaume wamewapiku wanawake kwa umbea
Binafsi rafiki zangu wengi sana nimegombana nao sababu ya umbea wao
Wakati nasoma nakumbuka kuna siku timbwili kubwa liliibuka class chanzo akiwa ni kidume aliyeutoa umbea hostel akapeleka class unaambiwa zilipigwa siku hiyo balaa
Siku hizi nimepunguza hata idadi ya marafiki yaani wanaume wa sasa walaini hawana hata vifua
9b7d21e1277b05d2b872bc0a3be40f72.jpg
Hata hii picha kwanini hawakuchorwa wanawake kwa wanawake au anayevujisha siri kwanini asiwe mwanamke?
Ndo wanaume wa sasa hao wanagombanisha hadi wanawake !!

Kilichobaki kututofautosha na wanawake ni kutovaa sketi tu

Niwatakie Usiku Mwema
.......
 
Mdau maisha yamebadilika
Siku hizi wanaume wamewapiku wanawake kwa umbea
Binafsi rafiki zangu wengi sana nimegombana nao sababu ya umbea wao
Wakati nasoma nakumbuka kuna siku timbwili kubwa liliibuka class chanzo akiwa ni kidume aliyeutoa umbea hostel akapeleka class unaambiwa zilipigwa siku hiyo balaa
Siku hizi nimepunguza hata idadi ya marafiki yaani wanaume wa sasa walaini hawana hata vifua

Kilichobaki kututofautosha na wanawake ni kutovaa sketi tu

Niwatakie Usiku Mwema
.......
Hatucheki nawewe sababu ya uongo na umbea ♬♪♪

post using my macbook air using jamiiforums app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom