makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,897
- 104,133
Huyo mbona mdau wangu kitambo tuu.. toka tuko a level mpaka sasa tuko na familia zetuuShemela shululu ndio mambo yake atakupa akija
Huyo mbona mdau wangu kitambo tuu.. toka tuko a level mpaka sasa tuko na familia zetuuShemela shululu ndio mambo yake atakupa akija
Hahaa.. hasira shuu, nakuona cheko km mjomba boko anapiga miayo..![]()
![]()
Meno 30 na nje yote 2



Hahaha
Utanikariri wewe.... Hivi kweeeli huna ubuyuuu au unanitania



ebu niache ujue sina aisee ebu kama unao ukuje dada jamanAsante mwaya pole na wewe... Leo sijawajibika kihivyo...., niliudhika ni kaenda zangu kulalaCjambo pole na majukumu
Vitunguu hivyo veepe mdomoniibablish isaidie nini kwa mfano dada
Me cjui kama ndo yule ila nliwackia wanaongea na mjomba wake khs Pbinamu obe mtto wao anaitwa obe ndio yule wa jana aliyezaa na mpendwa wake
Mke mwee ukuje apa sio unabisha bisha tu kuhusu mumeoHuyo mbona mdau wangu kitambo tuu.. toka tuko a level mpaka sasa tuko na familia zetuu
Mmesahau eeh... Au nifukue Makaburi![]()
lini jaman tulikwambia hivyo
Baba ampenda Mwana naye amempa vyote mkononi mwake
Amwaminiye Mwana yuna uzima wa milele asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia![]()
YOHANA 3:35-36
Muwe na usiku mwema damu ya Yesu iwalinde![]()
![]()

Vitunguu ili iweje sasa jamaanVitunguu hivyo veepe mdomonii
AmenBaba ampenda Mwana naye amempa vyote mkononi mwake
Amwaminiye Mwana yuna uzima wa milele asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia![]()
YOHANA 3:35-36
Muwe na usiku mwema damu ya Yesu iwalinde![]()
![]()
Me cjui kama ndo yule ila nliwackia wanaongea na mjomba wake khs P






ebu ngoja waje tuwasikieMie ninao halafu wa motoooo balaaaebu niache ujue sina aisee ebu kama unao ukuje dada jaman
Shululu hali hvo labda ObeNdio hizo chakula cha shemela shululu na binamu obe mke mwee
Haina haja ya kufukua makaburi dada ila me sikumbuki jamanMmesahau eeh... Au nifukue Makaburi
Harufu bhanaa... We wa wapiiiVitunguu ili iweje sasa jamaan
Ebu kuja basi jamaan kwa halotel dada mbona unanifanyia hivyo jamanMie ninao halafu wa motoooo balaaa
Aahh.. wa dar huyoMimi mzima dada
Nimekuuliza nifukue auuuuHaina haja ya kufukua makaburi dada ila me sikumbuki jaman
Anakula mke mwee jamaanShululu hali hvo labda Obe