Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
JamaaaniiiMwite sasa aje kujibu...!
La sivyo andaa kabisa na khanga za kumfuta machozi
Mnataka majibu gani
JamaaaniiiMwite sasa aje kujibu...!
La sivyo andaa kabisa na khanga za kumfuta machozi
GoodNilishawasamehe siku nyingiii, ni venye sijuagi kukaa na kitu
Umetumwa wewe
Rudi nyuma...Hujajibu...
Mbona sijaona? Post ipi hiyo?
HahahaNashangazwa na vingi asee
![]()
Sawa, Mondray ilimshinda"DID YOU KNOW?" Itakujia HV punde
NimekutagKwani ukijibu tena itakuwaje?
Kabla sijaja kapuku kumbuka nilikuwa siasani, mmu na kwingineko kote huko niko na friends, brothers and sisters... So Kuja kapuku hakunifanyi niwakwepe au niwachukie watu for nothing... Siweziiii acha taniana na watu eti kisa nina mume humu..
T atabaki kuwa mume wangu tu... Hayo unayotaka kuchunguza ni yako it's none of my business...

Huyo ndiye baba
Me moreMiss wewe
Nenda ubalozini kwaoThanxx..
Hv tz hii kuna sehem wanafundi kirusi kweli nataman nikijueee
KabisaYana nguvu sana
Ina maana makundi mengine Mbu hawayapendi
Power of love
Calm down bossKama vipi hakikisha chumba cha wageni ni kisafi kabisaaaa..
Manake naweza nikatoa talaka leo..!
Sasa lazima aje kulilia kwako.
My swtheartMorning too
Niko hapa T, nilidhani unaniamini but I was wrong!!!
Kila mtu ako na past, same as you!!!! Babu atabaki kuwa rafiki hilo halikwepeki, siweziiii mchukia sababu tu umekuwa mume wangu..
Wewe ni mume na yeye ni rafiki tena babu kama ulivyo na marafiki na dada zako na majirani!!!
I know how to let someone go, but I don't know how to hate.... Ukiona huniamini let me know, and I will let you go but I will never hate you...
Sakayo
Cc Transcend