Makapuku Forum

Makapuku Forum

Niko hapa namwimbia Sakayo ... kunani?
XaEg5YnnP1Q8QKIjPdMgpWfd8pKiiXrXk6lpg3xYNx3L2bdWu8tBQBvVjhVFgPxVpiXvl9WrRonM0NxEjZLxcrWxC13vvIiBSg6OXukSc_vTzX7dRaO7dJVnJ-GgYww4uvdARZAG8PYuGD4uVtWiCUiMB2pGpA=w5000-h5000
Hahahaaaa!

Weww mzee utaka vitw na vijana eeh?

Will you handle a battling with me?
 
Ndo maana ake nilikuta kule kakuandika T tena kwa heruf ndogo nikauliza unazidiwa na mr Bean
Kabla sijaja kapuku kumbuka nilikuwa siasani, mmu na kwingineko kote huko niko na friends, brothers and sisters... So Kuja kapuku hakunifanyi niwakwepe au niwachukie watu for nothing... Siweziiii acha taniana na watu eti kisa nina mume humu..

T atabaki kuwa mume wangu tu... Hayo unayotaka kuchunguza ni yako it's none of my business...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom