Makapuku Forum

Makapuku Forum

842cceb2961bf726baf29e39841a77df.jpg
 
Muite dada aje achague...


Kati yangu na babu...!
Niko hapa T, nilidhani unaniamini but I was wrong!!!

Kila mtu ako na past, same as you!!!! Babu atabaki kuwa rafiki hilo halikwepeki, siweziiii mchukia sababu tu umekuwa mume wangu..

Wewe ni mume na yeye ni rafiki tena babu kama ulivyo na marafiki na dada zako na majirani!!!

I know how to let someone go, but I don't know how to hate.... Ukiona huniamini let me know, and I will let you go but I will never hate you...


Sakayo
Cc Transcend
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom