Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo siku ya Beer Duniani..

028b7ce3983766da9da2554c4ad1d8af.jpg


f85f02905b1efdec298c77240242e1f9.jpg
 
5/Johnny Depp
90f7f216060432ca049f3210432d5530.jpg
a14c3c6e58eb4e31a8daccd5d4ba2804.jpg
Ana umribwa miaka 54
Jicho lake moja inadaiwa haoni yaani jamaa ni chongo
Jina lake halisi ni John Christopher Depp.....jamaa ni noma kwa kuchekesha nafikiri kila mtu anamjua
9208a7d718ce70d52eabd6b0d4fe9fbc.jpg
e0c518238754eedd1ef4ce1c8da32d55.jpg

Kacheza filamu kibao zilizovuma ikiwemo ya Edward Scissorhands zingine zitaje mwenyewe
Jamaa ni tairi wa kurleweka

Inadaiwa ana utajiri wa USD 450 Milioni
.....
 
TOP TEN MSHTUKO.

Kila ijumaa ya kwanza ya mwezi August huwa siku ya beer ya kimataifa. Hii siku imeanza kusherekewa tokea mwaka 2007 kwa kutambua mchango wa watumiaji wa beer katika uchumi wa dunia.

Kufikia mwaka 2020 mauzo ya beer yanategemewa kufikia usd 688.4 billion sawa na Tsh. 1,535,132,000,000,000.00, yaani zaidi ya trilion Elfu Moja na miatano.

sasa leo kwa mshtuko naleta zile beer 10 bora, je kama wewe ni mdau beer yako imetokea? most selling beer in the world.
 
4/Tyler Perry
cf5b8cb69c1c3eceb181f29b89035b46.jpg
68f0216083674a06fa608b3aa28a2204.jpg
Ana umri wa miaka 47
Ni Mmarekani alizaliwa na mama mlokole hivyo kila wiki alipelekwa kanisani atake asitake....baba yake alikuwa no findi seremala
14bffdcf93a83bc147722005d4e207d4.jpg
66d8e5a21e227506bbe25cf0ca7e6811.jpg

Huyu jamaa kapiga pesa ndefu kupitia filamu na ishu zake zingine

Anakadiriwa kuwa na mkwanja wa USD 470 Milioni
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom