Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,268
Beba tu hakuna namnaKwakweli sizzya akishindwa inabidi nijaribu bahati yangu.
Beba tu hakuna namnaKwakweli sizzya akishindwa inabidi nijaribu bahati yangu.
Ngoja ajeTanga sehemu gan?
Hii ni kwaajili ya wazinzi tu.Nitakuja na bro ako Th
OkayNgoja aje
safi mkuu, sijui kwako?Niaje mkuu
Wiki yako imeanzaje?
Okay, sio wazinzi.Hii ni kwaajili ya wazinzi tu.
Mzima shem!Okay
Niko poa shemMzima shem!
Mbona maswali wengi.Tanga sehemu gan?
Jimena.. Jimena.. Jimena Nakusalim kwa jina la bwana, unanitupa sana mkuuHabari yako mkuu,
Uliadimika sana
Shem lizzie mzima?Okay
Mi mzima briz sijui ww?Shem lizzie mzima?
Nilitaka kujuaMbona maswali wengi.
Mi niko poa kabisa, na umpendaye mzima?Mi mzima briz sijui ww?
Mzima kabisa sijui wako.Mi niko poa kabisa, na umpendaye mzima?
Kapuku vipi sijakuelewa unamaana gani kusema mkosoaji? Nadhani makapuku mnaelewana mi nimkosea njia....Karibu mkosoaji, sio kila kitu utumie akili nyingi kuelewa...uwaonavyo makapuku ndivyo walivyo, hapa ni kijiweni kwao, hujadili mambo yao, kwa mda wao kwa zamu kutegemea na ratiba ya kila mtu, pia kila kundi humu au mtu na mtu huongea mambo yao huku wakijua wafanyacho, kwa mgeni ni ngum kuelewa labda uusome mchezo kwanza.
Mi na youngblood tuko sawa tu... Wote tuko single tunavizia luzbolz humuMzima kabisa sijui wako.
Hahaha endeleeni mtapata. Msikate tamaaMi na youngblood tuko sawa tu... Wote tuko single tunavizia luzbolz humu
Miss you sanaaaaaJimena.. Jimena.. Jimena Nakusalim kwa jina la bwana, unanitupa sana mkuu
Safi kabisa.....safi mkuu, sijui kwako?