Makapuku Forum

Safi
 

Ile nyingine imeishia wapi?
 
3/Paulo Coelho
Alizaliwa tarehe 24 Agosti mwaka 1947
Huyu jamaa anaandika kwa hekima/busara maandishi yake akilenga kumteka kila mtu awe dogo au jeba,awe msomi au mbumbumbu,awe maskini au tajiri
Aneandika mambo mengi kumuhusu nwanadamu pia nadharia mbalimbali(conspiracy theories)
Ila Manual Of The Warrior Of Light ndo balaa yaani ni kama nwongozo fulani hivi wa kimawazo
........
 
Kamandaa hiyo Starz si ndio kampuni inayotengeza muvi za Spartacus! Na hiyo ya ni movie au
 
2/Agatha Christie
Alizaliwa mwaka 1890 na kufariki dunia nwaka 1976 akiwa na miaka 85
Anatajwa kuwa Mwabdishi bora mwanamke wa fasihi
Vitabu vyake vimeuza Mabilioni ya USD ulimwenguni kote
Kitabu chake cha Murder On The Orient Express kilibamba vilivyo ni simulizi kali balaaa
Kama unapenda vitabu zama mtandaono ujisomee
.....
 

Bitoz, asante kwa watunzi hawa nguli. Huyu jamaa kitafute hicho kitabu cha The Alchemist , ukiwa na muda utakipenda sana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…