Makapuku Forum

Makapuku Forum

10/Danielle Steel
b6d107fb08c11cb6275b7590fd28fffa.jpg
3c9122c15a2e05fe4d648999da180344.jpg

Alizaliwa Agosti 14 mnamo mwaka 1947
Ni mtoto wa baba Mjerumani mwenye asili ya Kiyahudi na mama Mreno
Alikuwa ni mtoto wa pekee na kulelewa huko Ufaransa
Alipiga msuli ngazi ya Shahada katika New York University hovyo ni msomi anayejua akifanyacho
e6e67b2a6ea66f4d64a65110cf659677.jpg
f12e7d6e6212cc3c1036394109c0fe05.jpg
0905bc91a9beabd8f491b52c6133ac16.jpg

Ni mkali wa vitabu vya mapenzi & mahusiano
Kitatu chake cha The Long Road Home kilichokuwa kikielezea manyanyaso ya msichana mmoja nyumbani kwao ndo kilichobamba zaidi duniani na kumtambulisha

Ameuza vitabu/nakala zaidi ya nusu bilioni yaani 500,000,000+
..........
 
10/Danielle Steel
b6d107fb08c11cb6275b7590fd28fffa.jpg
3c9122c15a2e05fe4d648999da180344.jpg

Alizaliwa Agosti 14 mnamo mwaka 1947
Ni mtoto wa baba Mjerumani mwenye asili ya Kiyahudi na mama Mreno
Alikuwa ni mtoto wa pekee na kulelewa huko Ufaransa
Alipiga msuli ngazi ya Shahada katika New York University hovyo ni msomi anayejua akifanyacho
e6e67b2a6ea66f4d64a65110cf659677.jpg
f12e7d6e6212cc3c1036394109c0fe05.jpg
0905bc91a9beabd8f491b52c6133ac16.jpg

Ni mkali wa vitabu vya mapenzi & mahusiano
Kitatu chake cha The Long Road Home kilichokuwa kikielezea manyanyaso ya msichana mmoja nyumbani kwao ndo kilichobamba zaidi duniani na kumtambulisha

Ameuza vitabu zaidi ya nusu bilioni yaani 500,000,000+
..........
Hii topic nzuri sana..

Manake mimi ni mdau wa vitabu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom