Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
zaidii ya kibokoooooNimekumiss tu jaman nafurahi kuwakuta na kiboko yako T
zaidii ya kibokoooooNimekumiss tu jaman nafurahi kuwakuta na kiboko yako T
Kutoka darasa huru la mama mchungajiNina Yesu bebe vingeshindwaaa
Hebu uliza huo ubayaMsamehe tu Baba D jamaan ni dada yangu huyo
Yaaan shemelaUpo, ndio umepanda juu ya mti ili uuipate KF![]()
![]()
![]()
net shidaa jamaanMambo ya Mungu haya shunie...Nimekumiss tu jaman nafurahi kuwakuta na kiboko yako T
Markpen haihusikiMsamehe tu Baba D jamaan ni dada yangu huyo
unaonaa thatahaaa nakupendaaaa mpka nasahauuu usambaa wakooooBaba D me ni msambaa jamaan
HahaaaLollipop
Muulize bitoz hebuKwahiyo T huyo shumie ni wa baba d nae au
Sawa kakandoo mdigooo wanguuu huyooo
Anakuogopa usije kumnyongaMie tena jamanii
na niii kweliiiiiiiUnataka nikufwe ghafla jamaan Baba DNakupenda kuliko ninavyojipenda mwenyewe
Akikujibu niite shem..![]()
lollipop ipiiii hii ya pipi ya kijiti au
Naachana nae Baba Dacahana naeeee
Shemela ukianguka niambie baba jj hivi mmeshawabadili nguo lakini
Hii topic nzuri sana..10/Danielle Steel![]()
![]()
Alizaliwa Agosti 14 mnamo mwaka 1947
Ni mtoto wa baba Mjerumani mwenye asili ya Kiyahudi na mama Mreno
Alikuwa ni mtoto wa pekee na kulelewa huko Ufaransa
Alipiga msuli ngazi ya Shahada katika New York University hovyo ni msomi anayejua akifanyacho![]()
![]()
![]()
Ni mkali wa vitabu vya mapenzi & mahusiano
Kitatu chake cha The Long Road Home kilichokuwa kikielezea manyanyaso ya msichana mmoja nyumbani kwao ndo kilichobamba zaidi duniani na kumtambulisha
Ameuza vitabu zaidi ya nusu bilioni yaani 500,000,000+
..........