Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
....hawawezi. Wewe hukaoni hako katoto kakubwa kenye macho kama mtoza ushuru wa TRA, kulala mapema hako bila mbinu nilizokupa sahau

....hawawezi. Wewe hukaoni hako katoto kakubwa kenye macho kama mtoza ushuru wa TRA, kulala mapema hako bila mbinu nilizokupa sahau

Makomredi kwema?
musso!!!
achana na utamu wa kilee kituu
Madenge lazima umtaje tuu..
Unafikiri kusahau begi kwa mtu ni simple simple eeh .
Obe mwenyewe umetoka mafichoni kwa beibe wa kigoma mwisho wa reli

ObeeeeeeeeMpenzi obe nakupenda thaaaana
![]()
![]()
nakupenda a,nakutaka nakuhitaji iiiiiiii,
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
moyo wangu wakuwazaa mpenzi..... .....aseee nipigie wimbo wa mwanadada mkongwe,mtalaka wa gadner,JUDITH WAMBURA MBIBO,nataka kibao chake kileeee... Kinaitwaaa "DISTANCE"
special 4 u
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Penda wewe zaidiNakupenda..

chuga wengine unawaweka mawazo mabaya kichwaniii...chuga chuga chuga....mmmmmmhChuga kwema tu
Yupo kwa wakwePoa dada shunie wapi yupo
EwaaaHebu Ngoja niwe mpole...
Aiseeeejovita kakumis
Mi nitakuwa wakili asee...!!!Binamu usimfananishe mme wangu na mambo ya kijinga ujue usimfananishe na kashfa za R kelly tutake radhi lasivyo tunakushtaki
Asante binamu
Mjomba Lee km nakuona vileee ulivyovimbisha mishavuuu
Nikiwaga kwenye viporo we karoo kanauma kweli
By the way sorry![]()
![]()
![]()
Kvp tena wanguchuga wengine unawaweka mawazo mabaya kichwaniii...chuga chuga chuga....mmmmmmh
SawaYupo kwa wakwe
Shemela asipotutaka radhi tunamshtaki hatujal ni binamu yetu wala nini


ahaaaaaaaah ngoja wa kanda ya ziwa wajeeeKvp tena wangu
Yaani kila ninavyokufagilia huamini ...unajua Obe anakuharibu sana
mpendwa umeanzza ln tabia ya kuharibu watu
