Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna wengi walitamani sana kuiona siku hii ya leo kama ilivyo kuwa kwangu na wewe..Lakin kwa mapenzi ya Muumba imeshindikana na wametangulia mbele za haki...Kwa uzima na afya ulionayo asubuh hii usisite kutumia walau dk 1,2 kutoa shukrani kwa aliye juu na ukimuomba akuzidishie rehema zake katika siku hii ya Leo...Muwe na Jtatu njema ndugu zangu..
Asante braza, siku njema na kwako pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom