Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Sawa mkuu, ntahakikisha hiyo rekodi ipo na ntamkumbusha kila atakaejaribu kuuliziaNaomba hii uweke kwenye vitabu vya kumbukumbu.
Sawa mkuu, ntahakikisha hiyo rekodi ipo na ntamkumbusha kila atakaejaribu kuuliziaNaomba hii uweke kwenye vitabu vya kumbukumbu.
Bro si nilikwambia nilipata nightmare????Mpaka sasa hivi bado yupo tu
Sawa nimemsamehe kiroho safiAisee.
Halafu mkuu naomba umsameh jambilo hajisikii vizuri kabisa.
_____Please_____
Hahahaa...![]()
Huyu nae
.............
Anazuga kuwa ndio kaamkaMpaka sasa hivi bado yupo tu
Vizuri sana.Sawa mkuu, ntahakikisha hiyo rekodi ipo na ntamkumbusha kila atakaejaribu kuulizia
My sister usiku mwema.Anazuga kuwa ndio kaamka![]()
![]()
![]()
Hivi ulishasikia wapi mtu kalala saa mbili usiku na kuamka saa mbili na robo usiku??
Only in KF
Hilo koba mie hunibebeshi kabisa, hata bure silipokeiHahaaa mbona lipo super sana
Hahahaha.Anazuga kuwa ndio kaamka![]()
![]()
![]()
Hivi ulishasikia wapi mtu kalala saa mbili usiku na kuamka saa mbili na robo usiku??
Only in KF
Acha mbwembwe wwBitoz leo kaamua kubeba hasira za Man U kufanywa 'kibaba na mama' na watoto wa kihuni Leicester City nimemuona akitoa povu kwenye uzi fulani...napenda kumpa rai ajikaze kwani mchezo huu hautaki hasira!
Ulale salama kaka ake.... Salamu zimfikie wifiUsiku mwema. Naogopa nisije kumuharibu MTU humu. Najua anajijua Sana![]()
Be blessed all
Ukiletewa kama zawadi hamna namna inabidi tu ulipendeeHilo koba mie hunibebeshi kabisa, hata bure silipokei
Usijali zitafika. ByeUlale salama kaka ake.... Salamu zimfikie wifi
Asante sana kaka ake na kwako piaMy sister usiku mwema.