shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
HBDLeo katika Historia
1934 - Jonas Savimbi anazaliwa.
Alikuwa ni kiongozi wa kikundi cha Waasi kilichojulikana kama UNITA ambacho kilikuwa kinapambana dhidi ya Serikali ya nchi ya Angola.
Savimbi alifariki dunia mwaka 2002.
RIP
Jonas savimbi