shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Mungu hawezi kumnyima mtu vyote
Mungu hawezi kumnyima mtu vyote
Ndo gumzo la mitandaoni wiki hii kimataifaMungu hawezi kumnyima mtu vyote
Sauti yangu anaijua Baba D tu babu





hii ya nje ni hivi ...hio iliokuwa reseved kwa baba d sijui ikoje
Shemela asipotutaka radhi tunamshtaki hatujal ni binamu yetu wala nini
AiseeeHatariiii
Nakujua tu, sema umeacha kunywa, hapo ungekuwa na Heineken sasa sijui ingekuwaje




Ahahahha kama nakuona huko shemela
Hivi mna nini nyie jaman mmekula nini leo naona mmeniamuliaSana!!!
Ni kweliMungu hawezi kumnyima mtu vyote
hii ya nje ni hivi ...hio iliokuwa reseved kwa baba d sijui ikoje
mna nini leoKabisa aiseeNdo gumzo la mitandaoni wiki hii kimataifa
Anazidi kuprove Ulemavu mbaya ni wa akili
......
Itakuwa wali maharage + maparachichiHivi mna nini nyie jaman mmekula nini leo naona mmeniamulia

Ugomvi wenu na binamu yenu mimi ni mtazamaji tuShemela asipotutaka radhi tunamshtaki hatujal ni binamu yetu wala nini
BinamuHoping tuko poa kabisa wadau. Kipengele cha muziki kitakujia baada ya kubwa 10, naamini itachukua dakika 15 na usiku huu tutadunda ndani ya elo o' vii ii.
Nyie ni watu muhimu so hakuna cha surprise ni surplus tu humu KF
Hamna chochote![]()
mna nini leo
Asante wifeeUtusamehe deni zetu kama sisi nasi tuwasamevyo wadeni wetu
Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu, kwa ufalme wako ni wako na nguvu na utukufu hata milele Ameeen.
Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe nanyi![]()
MATHAYO:6:12:15
Muwe na usiku ulio mwema![]()
Tujifunze kusamehe wapendwa hata kama umekosewa vipi msamehe aliyekukosea ili Mungu atusamehe nasi tuliyomkosea nimejifunza kitu kutokana na neno la leo achia roho we samehe tu![]()
Poa poa mdauItakuwa wali maharage + maparachichi
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.
.
Wadau tukutane kesho
..........
Mkuu heshima kwakosafi mkuu