Makapuku Forum

Makapuku Forum

ea3ce3e4bbb4e4df4f602f0af6813a02.jpg
Mungu hawezi kumnyima mtu vyote
 
[emoji524] Utusamehe deni zetu kama sisi nasi tuwasamevyo wadeni wetu

Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu, kwa ufalme wako ni wako na nguvu na utukufu hata milele Ameeen.

Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe nanyi [emoji524]

MATHAYO:6:12:15

Muwe na usiku ulio mwema [emoji120]


Tujifunze kusamehe wapendwa hata kama umekosewa vipi msamehe aliyekukosea ili Mungu atusamehe nasi tuliyomkosea nimejifunza kitu kutokana na neno la leo achia roho we samehe tu [emoji120]
Asante wifee
 
Back
Top Bottom