Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji524] Utusamehe deni zetu kama sisi nasi tuwasamevyo wadeni wetu

Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu, kwa ufalme wako ni wako na nguvu na utukufu hata milele Ameeen.

Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe nanyi [emoji524]

MATHAYO:6:12:15

Muwe na usiku ulio mwema [emoji120]


Tujifunze kusamehe wapendwa hata kama umekosewa vipi msamehe aliyekukosea ili Mungu atusamehe nasi tuliyomkosea nimejifunza kitu kutokana na neno la leo achia roho we samehe tu [emoji120]
 
.....baba kakumbuka familia, hasa mama yao😀, wasipolala wape piriton , au restoril na kama ni wabisha maziwa yachanganye na vodka watalala umsubiri mumeo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji134] [emoji134] madudu yte hayo c watakufa Obe,najua baba kankumbuka zaidi mama yao ndo najtahid walale kabla hajafika
 
[emoji524] Utusamehe deni zetu kama sisi nasi tuwasamevyo wadeni wetu

Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu, kwa ufalme wako ni wako na nguvu na utukufu hata milele Ameeen.

Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe nanyi [emoji524]

MATHAYO:6:12:15

Muwe na usiku ulio mwema [emoji120]


Tujifunze kusamehe wapendwa hata kama umekosewa vipi msamehe aliyekukosea ili Mungu atusamehe nasi tuliyomkosea nimejifunza kitu kutokana na neno la leo achia roho we samehe tu [emoji120]
[emoji120] [emoji120] [emoji120] Asante kwa neno mke mweee
 
Back
Top Bottom