Makapuku Forum

Makapuku Forum

Utusamehe deni zetu kama sisi nasi tuwasamevyo wadeni wetu

Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu, kwa ufalme wako ni wako na nguvu na utukufu hata milele Ameeen.

Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe nanyi

MATHAYO:6:12:15

Muwe na usiku ulio mwema


Tujifunze kusamehe wapendwa hata kama umekosewa vipi msamehe aliyekukosea ili Mungu atusamehe nasi tuliyomkosea nimejifunza kitu kutokana na neno la leo achia roho we samehe tu
 
Utusamehe deni zetu kama sisi nasi tuwasamevyo wadeni wetu

Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu, kwa ufalme wako ni wako na nguvu na utukufu hata milele Ameeen.

Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe nanyi

MATHAYO:6:12:15

Muwe na usiku ulio mwema


Tujifunze kusamehe wapendwa hata kama umekosewa vipi msamehe aliyekukosea ili Mungu atusamehe nasi tuliyomkosea nimejifunza kitu kutokana na neno la leo achia roho we samehe tu
Asante kwa neno mke mweee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom