Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
...wewe tena, hata ushauri wowte nitakaoutoa lazima uonekane mbaya. Najua msimamo wako, na ninakuangalia tu




binamu wala me na wewe
...wewe tena, hata ushauri wowte nitakaoutoa lazima uonekane mbaya. Najua msimamo wako, na ninakuangalia tu




binamu wala me na wewe
Una utani na mukongo binamuLiva hizi mechi za nzengo utasema katiwa ndimu ngoja ligi ianze sasa analegea kama pizza ya bamia
Asante kwa kumi kubwa
Asante usiku mwema na kwako
Part ja sana adauhii ya III itachukua 100+
.....mimi najua huwezi kunisikiliza maana ni mmoja ya wale ambao huwa nawaangalia kwa mashakamashaka. Hivi mimi sina hata ushauri mzuri hata mmoja jamani?






Muangalie huyo. ....ni kivuruge haswa...muulize Shunie kama humjuiMwenyewe nakupenda sana maana ndo wewe peke yako unayependa kuona nina furaha. Wengine wote humu huwa nawaangalia kimashakamashaka sana
Asante binamu umenisaidia ndo maana nakupenda
Kwema mussolin za kwakoMakomredi kwema?
Sauti yangu anaijua Baba D tu babuNajaribu kuimagine mjukuu wangu ...hio sauti inakuwaje
Ndo maana kawa wa 4 ... Liver ugonjwa vibonde...vinapaki basi kama man uLiva hizi mechi za nzengo utasema katiwa ndimu ngoja ligi ianze sasa analegea kama pizza ya bamia

Kwema mdauMakomredi kwema?
Binamu usimfananishe mme wangu na mambo ya kijinga ujue usimfananishe na kashfa za R kelly tutake radhi lasivyo tunakushtaki
Asante binamu

HatariiiiAfadhali na wewe umeliona hilo
Nakujua tu, sema umeacha kunywa, hapo ungekuwa na Heineken sasa sijui ingekuwajeUmejuaje shemela
Mussolini ulipotelea wapi mkuu?safi mkuu
Sana!!!Hatariiii