Makapuku Forum

Makapuku Forum

4/Mongol Conquest
f7fa76ebc62f389acff8d06e14f049eb.jpg
ab677e38254502693b376025f8028d42.jpg
ce936f6ed510a68681bd60b547ad7bc9.jpg

Ilianza nwaka 1207 hadi mwaka 1472 yaani watu walipigana visu na mikuki kwa miaka 200 alianza babu akafuata baba kisha mjukuu na vitukuu ....si mchezo !!!
Ilipiganwa maeneo ya Asia,Ulaya Mashariki na Mashariki ta Kati
Mongol Empire ilikuwa ni rawala yenye nguvu kipindi hicho kiasi cha kuitwa Greater Mongol State ilitamba vilivyo karne ya 13
Ilianzia Bara Asia ikajitanua hadi Ulaya Mashariki kisha ikaelekea Bahari ya Japan ukanda wa Siberia
Inatajwa kuwa Himaya kubwa zaidi kuwahi kutokea duniani ilikuqa na eneo la Km za mraba 33,000,000 !!! Yaani sawa na 22% ya ardhi ya dunia nzima na kuwa na watu zaidi ya 100,000,000
Sasa wakati inajitanua haikuwa hivi hivi tu ilikuwa ni kwa jasho na damu

Takribani qatu 50,000,000 walipoteza naisha
.........
 
3/World War I
f52c0c107019c6b1cd4eb84f10976e66.jpg
c0ed14f2db9e03456bf55a30057d8eb7.jpg
3be106e82aead38dcc8c54dcb07782e2.jpg

Kuna aliyesoma historia Sekondari asiyeifahamu hii vita?
Hatacqasioebda shule wakiwepo babu zetu waliijua vizuri maana ngoma ilipigwa dunia nzima hivyo hadi vijijini walionja shubiri
Ilianza mwaka 1914 na kuisha 1918
Wabajeshi takribabi 79,000,000 waliingia vitani kuoneshana umwamba achilia umbali babu zetu waliookotezwa tu mashambani

Inakadiriwa vifo vilifika hata 65,000,000
.....
 
2/Taiping Rebellion
f94a3a5d0078b0f8c6ceb4a08d31eaa7.jpg
2b5cbcc9c5ffe80dd23244127673ae75.jpg
06c86221a694d2465edc0515cd674dc7.jpg

IlianA mwaka 1851 hadi aka 1864 yaani karbe ya 19
Ilipigwa huko China haswa maeneo ya Jusini ikiongozwa na Hong Xuquan ambaye alikuwa ni kiongozi wa Heterodox Christian huko China.jamaa kwa maono yake akadai kuwa yeye ameotoshwa na Mungu kwamba ni Younger brother of Jesus Christ yaani jamaa ni zaidi ya akina GwJima na TB joshua kudadadeki !!!
Hivyo hamaa kutaka kuwa juu ya Qing Dynasty

Watuv takribani milioni 20 walifariki wengi wakiwa ni raia ila makadirio ya juu ni vifo vy watu takribani 66,000,000
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom