4/
Mongol Conquest
Ilianza nwaka 1207 hadi mwaka 1472 yaani watu walipigana visu na mikuki kwa miaka 200 alianza babu akafuata baba kisha mjukuu na vitukuu ....si mchezo !!!
Ilipiganwa maeneo ya Asia,Ulaya Mashariki na Mashariki ta Kati
Mongol Empire ilikuwa ni rawala yenye nguvu kipindi hicho kiasi cha kuitwa
Greater Mongol State ilitamba vilivyo karne ya 13
Ilianzia Bara Asia ikajitanua hadi Ulaya Mashariki kisha ikaelekea Bahari ya Japan ukanda wa
Siberia
Inatajwa kuwa
Himaya kubwa zaidi kuwahi kutokea duniani ilikuqa na eneo la Km za mraba 33,000,000 !!! Yaani sawa na
22% ya ardhi ya dunia nzima na kuwa na watu zaidi ya 100,000,000
Sasa wakati inajitanua haikuwa hivi hivi tu ilikuwa ni kwa jasho na damu
Takribani qatu 50,000,000 walipoteza naisha
.........