Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Vunga baaasiiLeo hii shunie mimi
Vunga baaasiiLeo hii shunie mimi
Ahahha jana ujue nilimuonea huruma sana leo mtanie tu sakayo mwenye roho ya babaWewe ngojaaaa ila simuwekii kwenye list
Kuna siku yakee
Mzima wa afya mydear..Hofu kwakoo tuu
Mwaah
Na husna kuwa makini nayeeBasi muwe mnapunguza kuongea hiyo lugha yenu ili na sisi tuwaelewe jamani😀
Wa TSakayo yupiii
Huyu ni wa ujiji nwenzangu,kamaanisha Njoo nikwambie.
Ila kakosea ingetakiwa kusema "Ingo nikubwile"
kweli nilichapiaaaa
Unajuaa vile nakumisiiiuMy Pleasure..
Sivungi aiseeVunga baaasii
Hahahanimezikuta zote leo..
Hadi na za kina uncle zipo
One week tuuu! Pm imejaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha nini
Ulikuwa unakifwa ujue
mtumeeeUle sasa!Kabisaa Yaani

Jamaaaniii
Haya wifiHaya love
Halaf kuna yule rafiki yetu jana aliingia humu alikuulizia nilimsahau badae nikamkumbukaHahaha
Kumbe zipooo
Cheko languuuHilo cheko
Kaniambia ni dada ake ila nitakuwa nawafuatila nione kama kuna ukweliNa husna kuwa makini nayee
Dada umesikia ukule tu