Mbona tunamnunulia huwa hakwambii kwaniNilisema mumnunulie na bando
Yah ndo mimiNi wewe
Mm chaguo languBaba D sijamchagulia hii jaman au haujasoma jaman
Basi naomba umwekee na yanguMm chaguo langu
KaribuuYah ndo mimi
IpiiiBasi naomba umwekee na yangu
Ya Martha Mwaipaja wewe ni BabaIpiii
Hii nyimbo kwa ninavyomjua sakayo huko alipo masikini kama namuona dada angu yote hii ni mapenzi yetu tu kwako tunakupendaKupenda na kupendwa vyote vina raha yake ...ila vikipishana kazi inakuwa kwelii kweliii .....
Ebhu mr T rudiii sakayo anakutafutaa....etiii t johny rudi yemi anakutafuta
Asante.....humu munaongelea nini jamani hata uwa siielewi hii kitu Mondray naomba uje hapaKaribuu
Hahahahahahahaaa hapana sio mimi acha kwanza amalizane na issue za PM then atakuja hapa kukujibu mwenyewe.....nyota ya kitumbua ndo ipoje hiyoππππKwahiyo sio mkewe wewe mbona alitwambia anamleta mkewe tumuone kama mpaka hapa mondray anakukataa kweli una nyota ya kitumbua
Ooohhhh nimeharibuπππππ subiri aje atakuambia baby wake ni nanipm tena
Aweke akiba tu manake mke mwenyewe haaminiki... Usishangae ukasikia leo yuko kwa Bitoz kufuata handbag yake
Umewasha baamedi na yule nesiBinamu obe hana mke mmoja kuna mama ashura kuna yule mpika chapati kuna muuza supu kuna yule bonge kabisa kiuno hakijulikani mgongo haujulikani kazi kwako usiye na hata mmoja
Isidingo inaendelea najua usawa wa anko hali ngumu viti virefu havikarikiii ...na mm kwa nini sikupotezee mda wakooo.....Shubaaaaamiiiitiiiii twende sawaaaaa