Makapuku Forum

Makapuku Forum

da482e91635001784d5292dc1de4c9d2.jpg
Dada umeamkaje lakini nakumiss tu mimi jaman
 
Leo katika Historia


1844 - Franz Wolfgang Mozart anafariki.
Alikuwa ni mpiga kinanda, gita na piano kutoka nchini Austria.
Ni mmoja kati ya wapiga piano bora kabisa katika historia ya Ulimwengu.
Pia alijulikana kama Little Mozart.
3cbfcfec5c8df7a47c7e6684edb77726.jpg
5db90ffe5b4d29643a092976ad5e1fc7.jpg
b46990070a75479c9816a2b4467f1390.jpg

Alikuwa na miaka 35 ru

Nimewahi kumuelezea kwenye 10 kubwa ya wananuziki bora wa muda wote
....
 
Tata sio Mhindi wa India. Hebu hakikisha vizuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Na yeye ni binadamu hukosea na pia hujisahau
Hata mimi nakosea mara kibao
Ila najibu kwa kurekebisha kosa na sio kusema tu imekosewa

Afadhali hapo ulipoonyesha kwamba umemrekebisha
Shukrani mdau
.......
Born into the elite class Parsi family of India, the Tata family, he was the son of notable businessman Ratanji Dadabhoy Tata and Suzanne Brière, the first woman in India to drive a car. Muhammad Ali Jinnah, the founder of Pakistan, was married to Tata's niece, Rattanbai Petit. Tata became the first licensed pilot in India, in 1929. He is best known for being the founder of several industries under the Tata Group, including Tata Consultancy Services, Tata Motors, Titan Industries, Tata Tea, Voltas and Air India. In

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo katika Historia


2013 - Christian Benitez " Chucho" anafariki Dunia.

Ni mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Ecuador.
2398f7a37277819a570884700bd2c5f2.jpg
6b61ec20330a6845bd4a818a77dfa9d5.jpg
145d990abf6ac0f758331c721c2e65dd.jpg

Alikuwa swahiba wa Antonio Valencia
Ndani ya uwanja walitengebeza combination iliyowafanya watambe na Ecuador yao alikuwa ni tegemeo
Alikipiga Birmingham City pale England ila wakati akifariki alikuwa keshahama
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom