Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Hbd Mussolin diktekta aisee nimemkumbuka na Mussolin wa kapukuLeo katika Historia
1883 - Benitto Mussolini anazaliwa.
Ni dikteta aliyeitawala Italy kama Waziri Mkuu wa nchi hiyo.
Hbd Mussolin diktekta aisee nimemkumbuka na Mussolin wa kapukuLeo katika Historia
1883 - Benitto Mussolini anazaliwa.
Ni dikteta aliyeitawala Italy kama Waziri Mkuu wa nchi hiyo.
Jisikie upo majukwaa mengine
AsanteHabari za jumamosi kf na karibuni sana kwenye leo katika historia
Yawezekana kwelii etiiiboga ndio michepukos
R.i.p Christian BenitezLeo katika Historia
2013 - Christian Benitez " Chucho" anafariki Dunia.
Ni mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Ecuador.
Mie sijui aisee ndio mana nimekuuliza Baba D ulivyosemaYawezekana kwelii etiii
Born into the elite class Parsi family of India, the Tata family, he was the son of notable businessman Ratanji Dadabhoy Tata and Suzanne Brière, the first woman in India to drive a car. Muhammad Ali Jinnah, the founder of Pakistan, was married to Tata's niece, Rattanbai Petit. Tata became the first licensed pilot in India, in 1929. He is best known for being the founder of several industries under the Tata Group, including Tata Consultancy Services, Tata Motors, Titan Industries, Tata Tea, Voltas and Air India. InLeo katika Historia
1904 - J.R.D. Tata anazaliwa.
Ni mfanyabiashara mashuhuri wa Kifaransa aliyeanzisha kampuni ya magari ya Tata.
Utaipendaaaaa
OkeeeeeDevy
Oiiii Siku njema kwa neema za Jah//Nimekuja huku,
Kuwasalimu Makapuku,
Naona siku hizi wanakula Kuku,
Zile za Buku Buku,
Wanazipika Chuku Chuku.
sent by Samson Cyper
Nitaipenda sanaaa Baba DUtaipendaaaaa
week end yako itakuwa murua ikiwa utakuwa utajipatia wine hii nzuri kabisa ambayo inapatikana katika ladha mbili sweet red na dry red ikiwa imesindikwa kwa ustadi wa hali ya juu kwa kutumia zabibu halisi....
Asante cuzoo kwa historiaNa kufikia hapo basi sina budi kukusanya kila kilicho changu katika meza hii ya historia
Kwa udhamini mnono kabisa wa Ximena's red wine![]()
week end yako itakuwa murua ikiwa utakuwa utajipatia wine hii nzuri kabisa ambayo inapatikana katika ladha mbili sweet red na dry red ikiwa imesindikwa kwa ustadi wa hali ya juu kwa kutumia zabibu halisi....
Niite Jimena Jimenes nawatakia week end njema na msiache kunipa order sasa ili mjipatie wine hii
Na sijuiii walikuwaa wapiiiiAhahhah nilicheka sana jaman mbona mtundu sana jamaan d
Hitler kibokoLeo katika Historia
1921 - Adolf Hitler anakuwa kiongozi wa chama cha wafanyakazi huko Ujerumani
Salama mkushi tupo tunalisongeshaSalama Jinema
NimemuonaLakini si kweli umeongea mpendwa wa binamu
Cc mussolinLeo katika Historia
1883 - Benitto Mussolini anazaliwa.
Ni dikteta aliyeitawala Italy kama Waziri Mkuu wa nchi hiyo.
Wa shunieeMbona unakimbia tena kuna nini pedeshee wa nini eti