Makapuku Forum

Makapuku Forum

TOP TEN
Week end huanza Ijumaa hivyo leo sitajadili siasa wala uchumi au mambo ya elimu ni burudani,udaku au starehe kama kawa
ce3e29b3091b4cf5be7bacc097daa6d9.jpg

Hapa Bongo hakuna asiyemjua Giggy Money(Muuza Supu) ana mzigo wa nguvu.....

Sasa leo tuwaangalie wale wasanii maarufu kumi wanaosifika kwa kujazia
8d521056b4b6d2a8c6ed8172545d8048.jpg
Hapa hakuna akina Masogange kwenye hii list maana wanaongelewa ambao ni maarufu zaidi hivyo kigezo cha kwanza ni umaarufu wao

Karibuni

..............
 
TOP TEN
Week end huanza Ijumaa hivyo leo sitajadili siasa wala uchumi au mambo ya elimu ni burudani,udaku au starehe kama kawa
ce3e29b3091b4cf5be7bacc097daa6d9.jpg

Hapa Bongo hakuna asiyemjua Giggy Money(Muuza Supu) ana mzigo wa nguvu.....

Sasa leo tuwaangalie wale wasanii maarufu kumi wanaosifika kwa kujazia
8d521056b4b6d2a8c6ed8172545d8048.jpg
Hapa hakuna akina Masogange kwenye hii list maana wanaongelewa ambao ni maarufu zaidi hivyo kigezo cha kwanza ni umaarufu wao

Karibuni

..............
Tushakaribia
 
10/Tracy Obonna
cefc06d10def1a28905f98d762aaf608.jpg
ee9b3a54a18fda0c841cb4f2a6afecb1.jpg
1155d6a4d994ecd9e953ee082973d53d.jpg
Sijajua tarehe wala mwaka wake wa kuzaliwa
Huyu ni muigizaji wa Nollywood huko nchini Nigeria ambaye pia huishi huko kwa Trump

Ana elimu ya Shahada ya Uzamili(Masters in Business and Finance)
Ni Mkurugenzi Mtendaji(CEO) wa kampuni ya Sediore Cosmetics
Tracy hujishughulisha pia na uanamitind

................
 
TOP TEN
Week end huanza Ijumaa hivyo leo sitajadili siasa wala uchumi au mambo ya elimu ni burudani,udaku au starehe kama kawa
ce3e29b3091b4cf5be7bacc097daa6d9.jpg

Hapa Bongo hakuna asiyemjua Giggy Money(Muuza Supu) ana mzigo wa nguvu.....

Sasa leo tuwaangalie wale wasanii maarufu kumi wanaosifika kwa kujazia
8d521056b4b6d2a8c6ed8172545d8048.jpg
Hapa hakuna akina Masogange kwenye hii list maana wanaongelewa ambao ni maarufu zaidi hivyo kigezo cha kwanza ni umaarufu wao

Karibuni

..............
Anauza supu tsh ngapi?
 
10/Tracy Obonna
cefc06d10def1a28905f98d762aaf608.jpg
ee9b3a54a18fda0c841cb4f2a6afecb1.jpg
1155d6a4d994ecd9e953ee082973d53d.jpg
Sijajua tarehe wala mwaka wake wa kuzaliwa
Huyu ni muigizaji wa Nollywood huko nchini Nigeria ambaye pia huishi huko kwa Trump

Ana elimu ya Shahada ya Uzamili(Masters in Business and Finance)
Ni Mkurugenzi Mtendaji(CEO) wa kampuni ya Sediore Cosmetics
Tracy hujishughulisha pia na uanamitind

................
Kweli leo ni mwendo wa supu
 
9/Omotola Jalade Ekeinde
641e88656014d4f21fe56e727d2c5ac0.jpg


62cff7937c794bc47188127fe3edcc88.jpg
aa95ecbe4f0015ee788831006a1fe90f.jpg
Alizaliwa Februari 7 mwaka 1978
Huyu pia ni mcheza filamu za Kinigeria huko Nollywood
Siyo tu mcheza filamu bali pia ni nyota/superstaa huwezi mlinganisha na akina Johari wa Bongo
Baadhi ya muvi alichocheza na kutamba vilivyo ni
Ije,
A Private Storm,
Mortal Inheritance
& Last Fight to Abuja

Ana mpunga na biashara za kueleweka

............
 
9/Omotola Jalade Ekeinde
641e88656014d4f21fe56e727d2c5ac0.jpg


62cff7937c794bc47188127fe3edcc88.jpg
aa95ecbe4f0015ee788831006a1fe90f.jpg
Alizaliwa Februari 7 mwaka 1978
Huyu pia ni mcheza filamu za Kinigeria huko Nollywood
Siyo tu mcheza filamu bali pia ni nyota/superstaa huwezi mlinganisha na akina Johari wa Bongo
Baadhi ya muvi alichocheza na kutamba vilivyo ni
Ije,
A Private Storm,
Mortal Inheritance
& Last Fight to Abuja

Ana mpunga na biashara za kueleweka

............

Anaonekana ni strong woman
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom