Makapuku Forum

Sasa nimeelewa
 
8/Toolz Oniru

Jina lake halisi ni Tolu Oniru
Amezaliwa Julai 6 mwaka 1982
<Ni mwendeshaji wa vipindi vya redio na luninga machachari huko nchini Nigeria yaani ni kama Salama Jabir wa Planet Bongo anavyokimbiza huku kwa Wadanganyika
Ana elimu ya Shahada ya kwanza(Degree in Business and Mass Communication}
Hivyo vipindi anavyoviendesha habahatishi

............
 
Nafikiri kuna tangazo nimeona
 
7/Vee S Beib <
Amezaliwa Septemba 30 mwaka 1989
Achana na Vee Money....ni binti wa Kikenya ambaye jina lake halisi ni Vera Sidika
Ni mpendezeshaji wa video za wanamuziki mbalimbali Video vixien
Anaonekana zaidi kwenye video za kundi la hip hop huko Kenya liitwalo P-Unit
............
 
6/Daniella Okeke
Amezaliwa Machi 26 mwaka 1987 huko kwa Muhammadu Buhari
Huyu ni binti wa Kinigeria
Ni msanii chipukizi wa Nollywood anayewatetemesha akina Rita Dominic alianza na spid kama ya Jennifer wa Kanumba
Filamu inayomtambulisha ni Lagos Cougars ila pia kuna Luke Of Liers

..............
Zitaendelea baadaye
 
Tatizo wamekomaa sanaa hao
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…