Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Ahhahah tumesalimika mamy sijui wewe na mshkaji wangu hope jana uliyafanyia kazi maneno ya binamu obeumesalimika wewe na mumeo?
Madame S

Ahhahah tumesalimika mamy sijui wewe na mshkaji wangu hope jana uliyafanyia kazi maneno ya binamu obeumesalimika wewe na mumeo?
Madame S

Akikujibu niite dearJukwaa la chini ndio lipi
Madame S
Ahhahah tumesalimika mamy sijui wewe na mshkaji wangu hope jana uliyafanyia kazi maneno ya binamu obe![]()



nimecheka kwa nguvu
nimecheka kwa nguvu
Hajambo tunashukuru tumeamka salama
Madame S




binamu obe ushauri wako ulifanyiwa kazi si unaona masame s anavyocheka anashindwa kujibu
Hahahabinamu obe ushauri wako ulifanyiwa kazi si unaona masame s anavyocheka anashindwa kujibu




jamaniAsante kwa kuyapitia shemela wangu wa ukweliAsante shemela wangu mie
Anafanana na jamaa aliyeigiza the great dictator ya Charlie Chaplin
Kuna watu mmejaaliwa maneno
HBD Jose Luis chilavetLeo katika Historia:
1965 - Jose Luis Chilavert anazaliwa.
Golikipa wa zamani wa Paraguay.
Alikuwa mashuhuri sana kwa kupiga free-kick na moja kati ya magolikipa waliokuwa wanafunga sana magoli.
AiseeLeo katika Historia
Leo ni siku ya Usingizi nchini Finland.
Asante ankali kwa historia bora kabisaSina la ziada tukutane tena kesho, kwa udhamini mnono wa yule mbabe aliekuwa anapiga milioni kila dakika ambapo basi tukio hilo la kihistoria linatimiza mwaka siku ya leo toka kugundulika
Ila kumbuka sio kila dakika ni milioni japo kuna dakika zingine zina mamilioni
Niite Jimena Jimenes
Hasta la Vista!!
D na baba yake hawajamboNafurahi kusikia hivyo shemela
Kipindi hiki madogo waxnahaha na udahili
Inasikitisha sanaMichezo burudani na udaku View attachment 551510
Msuva naona kama keshachelewa
Ahsante mdauView attachment 551524Sina la ziada kutoka magazetini,nawatakieni wote siku njema