Makapuku Forum

Muziki wa Wadhamini

Naamini ukimya uliotamalaki humu kwa makelele haumaanishi mmelala bali mnavuta pumzi, kitu ambacho ni muhimu sana.

Kapuku nakushukuru sana na umuhimu wako humu, yes wewe unayesoma hapa hauelezeki, sina kipimio cha kupima umaarufu wako. Tumeamka asubuhi kwa magazeti na shululu , BBC na UF chini ya lianko langu lee empire , na tukashukuru kwa sala na Shunie . Nani hakuipitia historia ya leo nimwambie Jimena atukumbushe na kisha tukapata 10 kubwa na mtaalamu mwenyewe Bitoz , asanteni sana wadau. Na sisahau mambo ya michezo chini ya mtaasisi mwenzangu Nyagei

Sitaki kuharibu mchango wa mdhamini wetu wa usiku huu Shunie ambaye hatajali endapo nitawakumbuka wafuatao maana ninawakumbuka sana na wakiburudika na hizi nyimbo ni furaha kwangu, uko wapi husna muba , Arusha baridi limekufunika Clkey , mama wawili Tumosa unajua unavyonifanya kujisikia amani hapa unaniunga mkono kwenye harakari zangu, simsahau Mondray na Transcend mapumzikoni. Uko wapi Mkushi wa kusi , Mndali ndanyelakakomu ,mzeewakungoa , Madame S , koncho77 , dingimtoto , dumejeuri demi usipotee sana, Linamo , BlessedHope umemisika sana.

Mdhamini ambaye ambaye ni aunt yangu hatajali kuwataja wadau hawa hapa. Nisimkasirishe mdhamini kwa blah blah zangu akaninyima safari yangu muhimu.



na hapa anakuja Darasa na B. Pol



tuwe na usiku mwema makapuku wote

Mdhamini ametisha sana, kesho nitaomba kolaboresheni na Shunie ili tupate nyimbo za kuchangamsha zaidi na zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom