Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,008
- 453,976
Moyo sio wa nchi hii kajisemea dada angu sakayo aisee nitafanyaje sasaWewee si una roho ngumu chuma ya mjeruman
Moyo sio wa nchi hii kajisemea dada angu sakayo aisee nitafanyaje sasaWewee si una roho ngumu chuma ya mjeruman
Soon babynajua imekumiss pia
Muziki wa Wadhamini
Naamini ukimya uliotamalaki humu kwa makelele haumaanishi mmelala bali mnavuta pumzi, kitu ambacho ni muhimu sana.
Kapuku nakushukuru sana na umuhimu wako humu, yes wewe unayesoma hapa hauelezeki, sina kipimio cha kupima umaarufu wako. Tumeamka asubuhi kwa magazeti na shululu , BBC na UF chini ya lianko langu lee empire , na tukashukuru kwa sala na Shunie . Nani hakuipitia historia ya leo nimwambie Jimena atukumbushe na kisha tukapata 10 kubwa na mtaalamu mwenyewe Bitoz , asanteni sana wadau. Na sisahau mambo ya michezo chini ya mtaasisi mwenzangu Nyagei
Sitaki kuharibu mchango wa mdhamini wetu wa usiku huu Shunie ambaye hatajali endapo nitawakumbuka wafuatao maana ninawakumbuka sana na wakiburudika na hizi nyimbo ni furaha kwangu, uko wapi husna muba , Arusha baridi limekufunika Clkey , mama wawili Tumosa unajua unavyonifanya kujisikia amani hapa unaniunga mkono kwenye harakari zangu, simsahau Mondray na Transcend mapumzikoni. Uko wapi Mkushi wa kusi , Mndali ndanyelakakomu ,mzeewakungoa , Madame S , koncho77 , dingimtoto , dumejeuri demi usipotee sana, Linamo , BlessedHope umemisika sana.
Mdhamini ambaye ambaye ni aunt yangu hatajali kuwataja wadau hawa hapa. Nisimkasirishe mdhamini kwa blah blah zangu akaninyima safari yangu muhimu.
na hapa anakuja Darasa na B. Pol
tuwe na usiku mwema makapuku wote
Chumban nyumbaniiiiTamu tamu ndio jukwaani Baba D
Nakusubili Baba DSoon baby
Mm sasa ...mm nahis moyo wa VietnamMoyo sio wa nchi hii kajisemea dada angu sakayo aisee nitafanyaje sasa
Usijal shem wane si umeona leo tulivyochanganyaMdhamini ametisha sana, kesho nitaomba kolaboresheni na Shunie ili tupate nyimbo za kuchangamsha zaidi na zaidi
Shaka ondoaaNakusubili Baba D
Hapo sawa sio hapa jukwaani tutawatesa wasio na wakeChumban nyumbaniiii
JamaaanMm sasa ...mm nahis moyo wa Vietnam
Hakika, tunasubiria awamu zetuHalafu humu ndani watu wako busy kupambana na hali zao eeeeh!!!
AmenEe Bwana uyasikilize maneno yangu ukuangalie kutafakari kwangu
Uisikie sauti ya kilio changu Ee mfalme wangu na Mungu wangu kwa maana wewe ndiwe nikuombaye
ZABURI:511:2
Muwe na usiku ulio mwema sana
Yes darlingHubby
Hongera mkuu kwa 249kIla kuna kipind nilizima wifi...usiku sana itamalizaa
Hamlali nyie...