Nawe pia comrade shululuView attachment 551524Sina la ziada kutoka magazetini,nawatakieni wote siku njema
Ubarikiwe nawe pia miss shunie..!!Bwana asubuhi utaisikia sauti yangu, asubuhi nitakupangia dua yangu na kutazamia
Maana huwi Mungu apendezwaye na ubaya mtu mwovu hatakaa kwako
Wajivunao hawatasimama mbele ya macho yako unawachukia wote watendao ubatili
Utawaharibu wasemao uongo Bwana humzira mwuaji na mwenye hila
Bali mimi kwa wingi wa fadhili zako nitaingia nyumbani kwako na kusujudu kwa hiko nikilielekea hekalu lako takatifu![]()
ZABURI:5:7
Natawakia asubuhi ili njema sana mbarikiwe sana![]()
![]()
Asante dingimtotoGood morning familyView attachment 551525
Morning hubbyMorning family
Morning too my loveMorning hubby