Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,167
Sanaaa [emoji120]Tatu, hope imefika mujarabu
Sanaaa [emoji120]Tatu, hope imefika mujarabu
[emoji3][emoji3][emoji3]Ndio kulala aje huko?
Madame S
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asanteni kwa kampani yaani nimechangamka hadi kunguni wanaulizana tumuume au tumuache alale maana anatabasamu sana leo.
Kulala na Bailly madame s ndio alivyomaanishaEti wii we wajua maana ake?
Madame S
[emoji23][emoji23][emoji23] nimejisikia aibu tena ndio kanifukuza humu kabisaKulala na Bailly madame s ndio alivyomaanisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo ndio binamu obe[emoji23][emoji23][emoji23] nimejisikia aibu tena ndio kanifukuza humu kabisa
Madame S
[emoji23][emoji23][emoji23] nimejisikia aibu tena ndio kanifukuza humu kabisa
Madame S
[emoji3] [emoji3] [emoji3] pole leo umeota unasoma hadithi eeehShemela shululu jaman nataka magazeti mie na Baba D nataka story tena leo utuwekee episode 3 sikuelewi ujue ebu amkeni jamani kumekucha
ahsantee dear[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzima dear karibu sana huku ndio kiwanja chetu cha nyumbani jisikie upo majukwaa mengine yeyote
[emoji524] Bwana asubuhi utaisikia sauti yangu, asubuhi nitakupangia dua yangu na kutazamia
Maana huwi Mungu apendezwaye na ubaya mtu mwovu hatakaa kwako
Wajivunao hawatasimama mbele ya macho yako unawachukia wote watendao ubatili
Utawaharibu wasemao uongo Bwana humzira mwuaji na mwenye hila
Bali mimi kwa wingi wa fadhili zako nitaingia nyumbani kwako na kusujudu kwa hiko nikilielekea hekalu lako takatifu [emoji524]
ZABURI:5:7
Natawakia asubuhi ili njema sana mbarikiwe sana [emoji120] [emoji7]
Amen[emoji524] Bwana asubuhi utaisikia sauti yangu, asubuhi nitakupangia dua yangu na kutazamia
Maana huwi Mungu apendezwaye na ubaya mtu mwovu hatakaa kwako
Wajivunao hawatasimama mbele ya macho yako unawachukia wote watendao ubatili
Utawaharibu wasemao uongo Bwana humzira mwuaji na mwenye hila
Bali mimi kwa wingi wa fadhili zako nitaingia nyumbani kwako na kusujudu kwa hiko nikilielekea hekalu lako takatifu [emoji524]
ZABURI:5:7
Natawakia asubuhi ili njema sana mbarikiwe sana [emoji120] [emoji7]
Tumeamka shemelaShemela shululu jaman nataka magazeti mie na Baba D nataka story tena leo utuwekee episode 3 sikuelewi ujue ebu amkeni jamani kumekucha