Jagood
JF-Expert Member
- Aug 15, 2016
- 2,140
- 2,388
Hahaha Tumuache apumzike Kwa amani
Kumbukeni hata huko baharini samaki nyota/maarufu (Starfish) hawana ubongo hivyo msishangae
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
........

Leo ni brain tu

SawaNitaenda nae
Ukiskia yalaaaaa....ujue mtu kashakong'otwa la kichwaJiwe gizanii..

Nani huyo?!Hahaha Tumuache apumzike Kwa amani
Kua na Amani shemelaaAcheni madongo jamaan daah humu wote watu wazima mjue ndio mana watu wengine wanapaogopa sana wengine wametoka kila mtu ana uhuru wa kufanya anachojisikia msipende kukwaza wengine na mafumbo badilikeni mtaharibu jukwaa ukiongea sio lazima umfumbie mtu jamaan
Mara mojamoja huwa special factsLeo ni brain tu![]()
Umwe alatanguyeUkiskia yalaaaaa....ujue mtu kashakong'otwa la kichwa![]()
Asantee![]()
End
.......
Kweliiii sio vizuri mjueKua na Amani shemelaa