Ni kweli kabisaaAcheni madongo jamaan daah humu wote watu wazima mjue ndio mana watu wengine wanapaogopa sana wengine wametoka kila mtu ana uhuru wa kufanya anachojisikia msipende kukwaza wengine na mafumbo badilikeni mtaharibu jukwaa ukiongea sio lazima umfumbie mtu jamaan
OK goodMara mojamoja huwa special facts
Kesho mixture tu
Hutokea mara chache chahe sana
......
Kweli tusamehe Ila hatujampiga dongo mtu. Tulikua tunasema Tu Yale yaliyopo/ yanaonekana na hatujamsema mtu!Kweliiii sio vizuri mjue
Kweli husna sio vizuri kama swala la shimba kaamua mwenyewe kutoka msimuongelee basi hata kwa mafumbo lakini mambp hayaishi ndio mana anakujaga kujibu me bwana ukikosea nakwambia kama utakasirika nisamehe tuNi kweli kabisaa
OkThe Italic
![]()
![]()
![]()
Kidogo tu
Tumekuelewa shemeji
Hatunaga shida na mtu tuendeleze yetu
Niedelete
......

Mie nimeshamaliza endeleeni na yenu ndio mana watu wanapashindwa humu si wengine vichwa ngumu tu![]()
![]()
![]()
Kidogo tu
Tumekuelewa shemeji
Hatunaga shida na mtu tuendeleze yetu
Niedelete
......