Makapuku Forum

Upo sahihi mdau
Hata maelezo yako haya mafupi tu mtu atakuelewa
Tena kule jukwaa la Intelejensia huwa sikosi kusoma thread zako
Bahati mbaya kwa hapa Makapuku watu wa kariba yako wapo wachache
.......
 
===HAHAHAHA KUMBE BADO KUNA WATU WANADILI NA HII KITU!!! HUKU BONGO WATU WANAANGALIA MKIA TU WANABEBA WANAWEKA NDANI WAKUNWE VITOVU

===SWAZILAND: Mwanaume mmoja ametaka arudishiwe mahali ya Ng'ombe 24 baada ya kugundua mke aliyemuoa si bikira kama alivyohakikishiwa wakati akifanya taratibu za ndoa.

=== Mwanamke huyo Ruth Thembisile Sibiya amesema kuwa hata yeye hakumkuta mume wake bikira kwakuwa tayari alikuwa na watoto wawili.

===HAKIKISHA NA WEWE MSAFI KABLA HUJAONA UCHAFU WA MWENZIO
 
Umesahau binamu dagaa na pembeni ugali nakipenda hiko chakula
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…