Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Morning
Morning
NzuriHabari za asubuhi
KumekuchaNzuri
Heshima yako kiongozi. ..hope uko poaaNiko poa kabisa mshikaji wangu, Lee mzima?
Niko poa sema nimechelewa kuweka mambo but tuko woteeeLeo imedhamini
Mme mwee uko poa lakini
Niko poa, sijui weweHeshima yako kiongozi. ..hope uko poaa
Asante mume barikiwa na weweUbarikiwee sana mke wangu

Ewaaaaah bazuriiii tuu bashuniePedeshee mutu ya totoz vilee baba d wanavyokuitaga batoto barembo
Ooooooh nimekumis jukwaan ila hope uko poaNakusalimia
Uko poaaaNzuri
Mungu yu mwemaa niko poaaNiko poa, sijui wewe
Kwani we ni wa hukooo
Hujui, basi jua kuanzia leo
Kumbe huyu ndugu yangu kabisa yaanii
Niko poa shemeji. Tatizo huzunguki kabisaOoooooh nimekumis jukwaan ila hope uko poa
Kwemaa mdauuHabari za asaubuhi mabibi na mabwana
....
YeapKumekucha
Kila wakatiMungu yu mwemaa niko poaa
Haya mahaba yatakuwa ya CongoAsante mume barikiwa na wewe![]()
Hivi wanakua ni bazuriii ni wengiii hivi baba d eenhEwaaaaah bazuriiii tuu bashunie
Leo katika Historia
1957 - Tunisia yawa Jamhuri. Ni nchi inayopatikana kaskazini mwa Africa.