Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1961 - John F. Kennedy Rais wa 35 wa Marekani anatoa hotuba ya kutoa msisitizo kuwa mashambulizi iwapo Berlin itashambuliwa basi wao wanaamini Nato nzima itakuwa imeshambuliwa.
John F. Kennedy alikuja kuuwawa November 22 Mwaka 1963
 
Niite Jimena Jimenes na mpaka hapo basi nakuwa sina la ziada kutoka katika meza ya historia..... Muwe na siku njema na furaha tele. Kwa udhamini mnono kabisa wa kauli za mkuu
Adios Amigo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom