Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
T utakuwa tunabonga aiseeeCuzoo tanga moja hapa sambaa line sema huyo babu kuna mda ananichanganyia kibondei sijui kizugua sema si unajua tunaelewa wote kidogo
T utakuwa tunabonga aiseeeCuzoo tanga moja hapa sambaa line sema huyo babu kuna mda ananichanganyia kibondei sijui kizugua sema si unajua tunaelewa wote kidogo
Naona bamutu banaongea habari za mapedeshee tu![]()




ukajua ni mukongo cuzoooCuzoo huniamini hata mimiIli mumuibe aunyaku nyaku wamejaaa

SijakuelewaaaLabda alikua anataka ya peke ake
Nini wewe mwanamke![]()



cuzoo si alisalimia jamaan sema labda ulitaka ya peke ako
Presha sitakiii magar yasije kugonganaaHataki vya kushare![]()
Mbona yeye anadhurura
Tupo poa karibuHabari za asubuhi wapendwaaa
Hope Mungu amewaamsha salama..
Wa kushoto aiseeee![]()
![]()
kwani kuzurula ndio kushare hivi umelalia upande gani leo

Baba D jamaan salamSijakuelewaaa
Siku zote nilijiona nimejaa dhambi maishani
Presha sitakiii magar yasije kugonganaa
magari gani baba d aiseeSawa Shem lake inabidi nifanye utaratibu wa kumfungia na Nyagei hapaPresha sitakiii magar yasije kugonganaa

Hata me naonaWa kushoto aiseeee![]()
![]()
Ndo maaana nakupendaaUzunguke utafute nini babe yanajojiri nakwambia baba d
Sawa Shem lake inabidi nifanye utaratibu wa kumfungia na Nyagei hapa![]()




nyagei anazurula sana hivi utaweza kumfungiaKwa kweli nilitaka ya pekee yangucuzoo si alisalimia jamaan sema labda ulitaka ya peke ako
Wa binamu wangu wotee mm nasaidia tu kumfikishia salaamHapo sawa wahamiaji haramu je baba d
Mimi mwenyewe sijamuelewa huyu mke wakoSijakuelewaaa