shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Huyo mtu ni shida, jamaa anajua aiseePande hizi ni poa tu stori kila ninapopita ni T. Lisu tu
Huyo mtu ni shida, jamaa anajua aiseePande hizi ni poa tu stori kila ninapopita ni T. Lisu tu
Hiliii jembe nomaaaaaa...lisu wewe ni hatariiii
Huku poa kabisaHuku fresh, sijui huko ulipo
SwtyShemela morning
Mornie Dadii akeeMamy
Ni vyemaHuku poa kabisa
Aisee nataka utambulisho rasmiKila siku nakutambulisha humu shemeji yako sio mtembezi kabisa ujue
Ahahhaha nimfundishe nini shemela jaman ye mtu wa kushangaa tuMfundishe
AsanteeView attachment 549715Sina la ziada kutoka magazetini Nawatakieni wote siku njema
Kwani we ni wa hukoooCuzoo we ni kutoa macho tu vipiii jaman
Pedeshee mutu ya totoz vilee baba d wanavyokuitaga batoto baremboMukeee ya pedesheeee
NakusalimiaAsantee
KabisaaUmeamini sasa cuzoo![]()
Ubarikiwee sana mke wanguNi faida gani basi mliyopata siku zile kwa mambo hayo mnayoyataharikia sasa? Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni mauti
Lakini sasa mkiisha kuwekwa huru na kuwa mbali na dhambi na kufanywa watumwa wa Mungu mnayo faida yenu ndiyo kutakaswa na mwisho wake ni uzima wa milele
Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu![]()
WARUMI 6:21:23
Muwe na asubuhi iliyo njema mbarikiwe sana![]()
Hujui, basi jua kuanzia leoKwani we ni wa hukooo
I'd umekosea mkuu.... Angalia vizuri.Njema mzee wa kung'oa umeamkaje
Kumbe huyu ndugu yangu kabisa yaaniiHujui, basi jua kuanzia leo