mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Nzuri sana BitozHabari za asaubuhi mabibi na mabwana
....
Nzuri sana BitozHabari za asaubuhi mabibi na mabwana
....
NzuriiiiHabari za asaubuhi mabibi na mabwana
....
Salama za weweHabari za asaubuhi mabibi na mabwana
....
Mimi huku shem ndo kwangu kabisa kuzunguka my shunie alinikatazaaNiko poa shemeji. Tatizo huzunguki kabisa
Labda alikua anataka ya peke akeOoooooh nimekumis jukwaan ila hope uko poa
Hataki vya kushareMimi huku shem ndo kwangu kabisa kuzunguka my shunie alinikatazaa
Weww tuuuHivi wanakua ni bazuriii ni wengiii hivi baba d eenh
Karibu tenaHaya mahaba yatakuwa ya Congo
Hapendi kuzungukaNiko poa shemeji. Tatizo huzunguki kabisa
Uzunguke utafute nini babe yanajojiri nakwambia baba dMimi huku shem ndo kwangu kabisa kuzunguka my shunie alinikatazaa
Asante mzima weweKaribu tena
Nimefurahi kukuona
Yale ya zamani yalishapita siku hizi hapa ni sehemu salama palipojaa watu wajanja
.....
Hataki vya kushare![]()
Mbona yeye anadhurura
kwani kuzurula ndio kushare hivi umelalia upande gani leo
Hapo sawa wahamiaji haramu je baba dWeww tuuu
Binamu wengine ananibambikizaaaa
Naona bamutu banaongea habari za mapedeshee tu![]()
![]()
![]()
![]()
kwa nini

Nini wewe mwanamkeLabda alikua anataka ya peke ake

Kugombana na mtu anayejua sheria ni kupoteza muda