Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nikasema moyoni mwangu, Mungu atawahukumu wenye haki na wasio na haki kwa kuwa kuna wakati huko kwa kila kusudi na kwa kila kazi

Nikasema moyoni ni kwa sababu ya wanadamu ili Mungu awajaribu nao waone ya kuwa wao wenyewe wafanana na wanyama

Kwa maana linalowatukia wanadamu linawatukia wanyama jambo moja lawatukia anavyokufa huyu ndivyo anavyokufa huyu naam wote wanayo pumzi moja wala mwanadamu hana kitu cha kumpita mnyama kwa maana yote ni ubatili

Wote huendea mahali pamoja wote hutoka katika mavumbi na hata mavumbini hurudi tena
MUHUBIRI 3:17:20

Niwatakie usiku mwema mlindwe na damu ya Yesu
 
f723709bbd98528a9004304cf5fc1aeb.jpg
Baby where have you been?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom