shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Uko juuNiko hapa,nambiee
Uko juuNiko hapa,nambiee
....yaani umeamua kumjibu, haya, hachelewi kuomba picha aone kama ina viungo
kama vya mama Ashura au mpika chapatiAhsante utantembeza? mana miguu inawasha
Haya kwa raha zakoNapunguza mawazo ya baba d jaman![]()
Atakuwa ndo mwenye gitaaWoiiiiiiiiii wewe ndio yupi hapo binamu
SawaWoyoooooo bure ni ghali
Nmesahau mke mweee cjui ilikuwa inahusu nnmama jj hongera hiyo veep
UtAbaki na mm tu...na wewe unamuunga mkono anko wangu?
Hivi mimi humu nitabaki na nani wa kunisapoti jamani
...ha hahaha, hizi chipsi inaruhusiwa kunywa na fanta orange au mayonize ni soda?



mayonaise sio soda binamuAu ulikunywa maji MengiNinayekung'uta gitaa hapo hunioni? hii picha ilipigwa usiku sasa wamesafisha negative ikawa imeunguaungua naonekana kama mzungu kumbe sio
Mi na mpendwa wangu tuko poa tuMko poa?
Madame S
Kila siku nasemaga humu, yaani wanaofurahia mimi kuwa na furaha siku nzima hakuna (labda wewe tu-tena ukiwa peke yako bila anko wangu)
Umeona sasa navyoitwa leo, eti mkuu! Jamani tuhurumiane mbona bado usiku haujachanganya


binamu me nakufurahia siku zote ujueNdioooUmefurahiiii mke mwee mwenyewe
Woyoooooo mapenzi ya wahengana akikuambia aseme kwa sauti nisikie, sitaki mchezo, ndo kwanza tuko wapya! Nimeamua kukaba hadi penati
Abeeeh mkee mwee nipo hapa nimeonaShunie